Maoni: Kwenye suala la utaalamu Uzalendo weka pembeni

Maoni: Kwenye suala la utaalamu Uzalendo weka pembeni

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Timu ya Taifa Leo imepokea kipigo.

Hii timu tatizo kubwa ni benchi la ufundi.

Hao wenye dhamana ya kuajiri benchi la ufundi inawezekana nao hawana huo utaalamu wa kuajiri.

Huwa wanaweweseka Sana wakati wa kuajiri makocha kwani huwa wanasikiliza Sana kelele kutoka Kwa watu ambao wengi Wao kelele ndio maisha Yao, hatimae wanatuajiria makocha ambao eti kigezo ni " Mzalendo!"

Nyie TFF eleweni suala la kocha wa timu ni suala la Utaalamu na linafanywa Kitaalamu, sio eti Uzalendo.

Hivi hamjiulizi Kwa nini Simba na Yanga head coaches Wao ni wa nje?

Sio wanapenda kuajiri foreigners ila hakuna Mzalendo ambae adi sasa ana uwezo wa kupambana CV na foreigners.

Hii ndio sababu Simba na Yanga zimekuwa tishio Africa.
 
Ao makocha wakigeni Walisha ajiliwa Sana lakini wastani wa Matokeo tunayo yapata hayajawahi badilika

Ao makocha wa kigeni na makocha wetu wanasoma course Moja yenye mtaala mmoja kulingana na Daraja unalo somea.
Shida tuliyonayo ni kukosa wachezaji wengi wanao cheza ulaya ambapo mpira una ushindani mkubwa Sana.

Kwa timu tuliyonayo ata ane Pep Gardiola Bado atapata Matokeo kama ya Hemed Moroco.

Kwakua Serikali imekataa uraia wa Nchi mbili ambao unazisaidia Sana Nchi nyingi za Africa basi ingekuja na mpango mbadala ili kuweza kupata vijana watakao pata exposure Ulaya na kuja kulisaidia Taifa.

Wachezaji wengi wanao toka kwenye Nchi za Africa zenye uraia pacha wakikosa nafasi kwenye timu za mataifa ya Ulaya wanarudi kuchezea mataifa Yao ya Africa bila ku athiri Uraia wao.
 
Ao makocha wakigeni Walisha ajiliwa Sana lakini wastani wa Matokeo tunayo yapata hayajawahi badilika

Ao makocha wa kigeni na makocha wetu wanasoma course Moja yenye mtaala mmoja kulingana na Daraja unalo somea.
Shida tuliyonayo ni kukosa wachezaji wengi wanao cheza ulaya ambapo mpira una ushindani mkubwa Sana.

Kwa timu tuliyonayo ata ane Pep Gardiola Bado atapata Matokeo kama ya Hemed Moroco.

Kwakua Serikali imekataa uraia wa Nchi mbili ambao unazisaidia Sana Nchi nyingi za Africa basi ingekuja na mpango mbadala ili kuweza kupata vijana watakao pata exposure Ulaya na kuja kulisaidia Taifa.

Wachezaji wengi wanao toka kwenye Nchi za Africa zenye uraia pacha wakikosa nafasi kwenye timu za mataifa ya Ulaya wanarudi kuchezea mataifa Yao ya Africa bila ku athiri Uraia wao.
Kwa iyo wewe unakubaliana na kauli ya marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuwa Tanzania ni kichwa cha ........ kila mtu anajifunzia kunyoa!!
 
Wawanoe hao anda twenti wako vzr mnoo...
 
Kwa iyo wewe unakubaliana na kauli ya marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuwa Tanzania ni kichwa cha ........ kila mtu anajifunzia kunyoa!!
Tusingepata Matokeo kwa Gine
 
Nakubali hoja, kocha hatoshi, leo sub hazikuwepo za maana na zilichelewa sana , wachezaji walichoka kocha Morocco akaacha waendelee tu kucheza, yule kijana mwalimu angeingia mapema labda ingesaidia, katikati toa Mtasingwa alichoka weka Mkude nguvu mpya!!
 
Timu ya Taifa Leo imepokea kipigo.

Hii timu tatizo kubwa ni benchi la ufundi.

Hao wenye dhamana ya kuajiri benchi la ufundi inawezekana nao hawana huo utaalamu wa kuajiri.

Huwa wanaweweseka Sana wakati wa kuajiri makocha kwani huwa wanasikiliza Sana kelele kutoka Kwa watu ambao wengi Wao kelele ndio maisha Yao, hatimae wanatuajiria makocha ambao eti kigezo ni " Mzalendo!"

Nyie TFF eleweni suala la kocha wa timu ni suala la Utaalamu na linafanywa Kitaalamu, sio eti Uzalendo.

Hivi hamjiulizi Kwa nini Simba na Yanga head coaches Wao ni wa nje?

Sio wanapenda kuajiri foreigners ila hakuna Mzalendo ambae adi sasa ana uwezo wa kupambana CV na foreigners.

Hii ndio sababu Simba na Yanga zimekuwa tishio Africa.
Watu wamejipanga Kwa ajili ya vitu kama hivi , ndio maana wengine wanadiriki kusema mtasubiri Sana

Top Sports Ministry Officials Summoned To State House Over Sh1B Afcon Stadiums Scandal​


Bosses accused of paying private consultants Sh1.057 billion in total disregard of President Ruto’s directive
 
Back
Top Bottom