Maoni: Mama Maria Nyerere apumzishwe na matukio ya kiserikali, atulie ailinde afya yake

Kwani Maria Nyerere anakwenda kwa hiari yake? Anatekwa na UVCCM na akijifanya mbishi anaweza kubambikiwa kesi ya ugaidi!
 

Mzee Mwinyi hajui kama anaishi Dar na hii nchi ni Tanzania sembuse huyu mama?
 
Nadhani Waandaazi wa hizi shughuli ni Watu wazima na wenye weledi..Sidhani kama akisema leo sijisikii vizuri watamlazimisha.

Huenda hata yeye anafurahi kuona Wajukuu, sio kila Mtu hupenda kukaa tu mahali pamoja muda wote.
 
Mkuu unataka kuniambia anatuma request mwenyewe kupitia watu wake wa familia?..maana huwezi kukaa meza kuu tu alipo Rais kirahisi tu kama hujapangwa kuwepo pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ni kweli anaalikwa....je Ni lazima kwenda katika mwaliko?!!

Ni Mara ngapi humuoni Mzee wetu Salim Ahmed Salim katika dhifa tofauti...kwani haalikwi?!!!
 
Watu wanatafuta political milage kaka, hilo la kusema bibi anahitaji kulala hawajali.
 
Inawezekana ni kweli anaalikwa....je Ni lazima kwenda katika mwaliko?!!

Ni Mara ngapi humuoni Mzee wetu Salim Ahmed Salim katika dhifa tofauti...kwani haalikwi?!!!
Kwa hiyo mnategemea bibi atumie logic yake kuamua kwenda kwenye mwaliko au kutokwenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…