FAJES
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 720
- 644
Wakuu, heshima kwenu.
Kutokana na changamoto ya upatikani wa maji yasiyokuwa na chumvi Kigamboni nimeona hii ni fursa ya biashara.
Wazo langu:
Ni kununua SIMTANK yenye capacity kuanzia 5000 liters kisha kulisimika mahali ambapo wateja watanunua kwa bei kati ya Tshs 250 -300 @ ndoo ya lita 20. Kwa sasa watu wananunua kupitia jamaa wa mikokoteni kwa bei kati ya Tshs 500 -300. Sehemu ya kutolea Maji ni maeneo ya Kigamboni Kisiwani. Bei ya kununulia ndoo ya lita 20 ni Tshs. 50.
Ili kifanikisha mradi huu, nitalipa kodi ya eneo la kusimika SIMTANK, kumpa ujira kijana atakayesimamia kazi hiyo, kulipia gharama za usafirishaji wa maji hayo kupitia kukodi Gari itakayokuwa inaleta maji hayo.
Wakuu, naombeni mwenye ushauri au mawazo tofauti juu ya wazo hili la biashara.
Kutokana na changamoto ya upatikani wa maji yasiyokuwa na chumvi Kigamboni nimeona hii ni fursa ya biashara.
Wazo langu:
Ni kununua SIMTANK yenye capacity kuanzia 5000 liters kisha kulisimika mahali ambapo wateja watanunua kwa bei kati ya Tshs 250 -300 @ ndoo ya lita 20. Kwa sasa watu wananunua kupitia jamaa wa mikokoteni kwa bei kati ya Tshs 500 -300. Sehemu ya kutolea Maji ni maeneo ya Kigamboni Kisiwani. Bei ya kununulia ndoo ya lita 20 ni Tshs. 50.
Ili kifanikisha mradi huu, nitalipa kodi ya eneo la kusimika SIMTANK, kumpa ujira kijana atakayesimamia kazi hiyo, kulipia gharama za usafirishaji wa maji hayo kupitia kukodi Gari itakayokuwa inaleta maji hayo.
Wakuu, naombeni mwenye ushauri au mawazo tofauti juu ya wazo hili la biashara.