Maoni na Ushauri kuhusu kuzingatia jambo ninalolifanya kwa wakati husika

Maoni na Ushauri kuhusu kuzingatia jambo ninalolifanya kwa wakati husika

SinaMdaa

Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
32
Reaction score
67
Wadau habarini za uchana huu wanajamii.
Natumaini mu wazima wa afya.

Niende kwenye mada moja kwa moja,nipo hapa kuuliza na kuomba Ushauri nawezaje kufocus na kuzingatia (concentrate) kwenye jambo nalofanya kwa wakati husika.

Nimekuwa na changamoto ya kushindwa kufocus na kunconcentrate kwenye kusikiliza kwenye vikao, maubiri kanisani na mambo mengine yanayohisiana na kusikiliza kama taarifa ya habari.

Pia napata changamoto kwenye concentrate kwenye kusoma mambo ya kawaida tu kama vitabu ama story kwenye gazeti.

NB: Sina health complication yeyote
 
Ili tatizo tunalo wengi, kwa kifupi linaitwa ADHD. Linatibika kwa watoto tu, kwa watu wazima hamna tiba. Kuna baadhi ya mbinu za kupunguza kidogo effect zake, kwa mfano kama kusoma inabidi usome hardcopy kwa sauti na uandike unachosoma. Soma tu mtandaoni utajua mengi.
NB; Mbinu za kuongeza concetration kwenye mambo yako ya msingi zipo
 

Attachments

  • Screenshot_20240610-153402_Chrome.jpg
    Screenshot_20240610-153402_Chrome.jpg
    741.6 KB · Views: 4
Ili tatizo tunalo wengi, kwa kifupi linaitwa ADHD. Linatibika kwa watoto tu, kwa watu wazima hamna tiba. Kuna baadhi ya mbinu za kupunguza kidogo effect zake, kwa mfano kama kusoma inabidi usome hardcopy kwa sauti na uandike unachosoma. Soma tu mtandaoni utajua mengi.
NB; Mbinu za kuongeza concetration kwenye mambo yako ya msnlikuwa nadhani hii ADHD ni more serious ishu
 
Ipo serious sana, kichwa kinaprocess vitu ving kwa wakat mmoja mwishowe uambulii chochote. Na mara nyingi inafanya akili ichoke(cognitive exhaustation) bila kufanya jambo la msingi.
kabla hujaanza jambo lako la msingi jaribu kufanya vifuatavyo;
Meditation, kuna audio music zinaitwa 8D(zisikilize na earphone),kunywa maji mengi, white noises audio etc
Hizo zinanisaidiaga kuzima process zisizohiyajika kwenye ubongo na kukufanya uwe fresh.

Kwenye conversation focus iwe kwenye macho na mdomo wa muongeaj, ukipata nafasi rudia alichokisema muongeaj ndo utoe idea zako.
Advantage ya ilo tatizo ni creativity. Kwaiyo kama unajihusisha na mambo ya creative thinking upo kwenye right track.
Ni hayo tu ndo nayoyafaham kwa uchache, endelea kufatilia utapata solution mkuu.
 
Ipo serious sana, kichwa kinaprocess vitu ving kwa wakat mmoja mwishowe uambulii chochote. Na mara nyingi inafanya akili ichoke(cognitive exhaustation) bila kufanya jambo la msingi.
kabla hujaanza jambo lako la msingi jaribu kufanya vifuatavyo;
Meditation, kuna audio music zinaitwa 8D(zisikilize na earphone),kunywa maji mengi, white noises audio etc
Hizo zinanisaidiaga kuzima process zisizohiyajika kwenye ubongo na kukufanya uwe fresh.

Kwenye conversation focus iwe kwenye macho na mdomo wa muongeaj, ukipata nafasi rudia alichokisema muongeaj ndo utoe idea zako.
Advantage ya ilo tatizo ni creativity. Kwaiyo kama unajihusisha na mambo ya creative thinking upo kwenye right track.
Ni hayo tu ndo nayoyafaham kwa uchache, endelea kufatilia utapata solution mkuu.
Asee mkuu shukran sana ni kama umeingia kichwani ukaona kilichopo umepita mulemule
 
Ipo serious sana, kichwa kinaprocess vitu ving kwa wakat mmoja mwishowe uambulii chochote. Na mara nyingi inafanya akili ichoke(cognitive exhaustation) bila kufanya jambo la msingi.
kabla hujaanza jambo lako la msingi jaribu kufanya vifuatavyo;
Meditation, kuna audio music zinaitwa 8D(zisikilize na earphone),kunywa maji mengi, white noises audio etc
Hizo zinanisaidiaga kuzima process zisizohiyajika kwenye ubongo na kukufanya uwe fresh.

Kwenye conversation focus iwe kwenye macho na mdomo wa muongeaj, ukipata nafasi rudia alichokisema muongeaj ndo utoe idea zako.
Advantage ya ilo tatizo ni creativity. Kwaiyo kama unajihusisha na mambo ya creative thinking upo kwenye right track.
Ni hayo tu ndo nayoyafaham kwa uchache, endelea kufatilia utapata solution mkuu.
Mkuu unaonekana unaelewa kwa upana kuhusu hili swala embu ongezea ongezea nyama nyama mkuu
 
Dr. Amadala wa JF anauliza IQ level Yako ni ngapi?
Madaktari wa mchongo mje, humu Kuna ID nyingi za madokta sijui mmespecialize kwenye nini
 
Mkuu unaonekana unaelewa kwa upana kuhusu hili swala embu ongezea ongezea nyama nyama mkuu
Sijafatilia sana mkuu, mimi nilitafuta visolution vichache nisogeze siku.kuna vitabu vimeandikwa kutibu hasa kwa watoto.
Mtazamo wangu⬇️
Ni muhim uchague mambo yako ya msingi ambayo upo tayar kutumia concetration kubwa mana ni ngum kuwa makini mda wote. Kwa mfano kama jambo lako la msingi ni semina itakayofanyika saa 9, ni bora ukaacha kuichosha akili yako na mambo yasiyo ya umuhim mpaka iyo saa 9. Au ukatenga nusu saa kabla ya semina kwa ajil ya kurecharge(guided meditation, maji kwa wingi, kusinzia kidogo, 8D au whitenoise audio kama huwez kumeditate nk). Wakat wa semina unawaza kufanya vitu vitakavyokuongezea umakini kama kunotedown kinachozungumzwa n.k.

Pia, Wekeza nguvu kuwasaidia wanao, wadogo zako au mtoto yeyote unayemjal kutibu ili swala kabla hajakua.

Ni hayo tu mkuu ndo niliyonayo, usiku mwema
 
Shu
Sijafatilia sana mkuu, mimi nilitafuta visolution vichache nisogeze siku.kuna vitabu vimeandikwa kutibu hasa kwa watoto.
Mtazamo wangu⬇️
Ni muhim uchague mambo yako ya msingi ambayo upo tayar kutumia concetration kubwa mana ni ngum kuwa makini mda wote. Kwa mfano kama jambo lako la msingi ni semina itakayofanyika saa 9, ni bora ukaacha kuichosha akili yako na mambo yasiyo ya umuhim mpaka iyo saa 9. Au ukatenga nusu saa kabla ya semina kwa ajil ya kurecharge(guided meditation, maji kwa wingi, kusinzia kidogo, 8D au whitenoise audio kama huwez kumeditate nk). Wakat wa semina unawaza kufanya vitu vitakavyokuongezea umakini kama kunotedown kinachozungumzwa n.k.

Pia, Wekeza nguvu kuwasaidia wanao, wadogo zako au mtoto yeyote unayemjal kutibu ili swala kabla hajakua.

Ni hayo tu mkuu ndo niliyonayo, usiku mwema
krani sana mkuu
 
Sio mzoefu sana ila jaribu meditation taratibu, akili ita relax na kufocus kwenye jambo moja at times
 
Kuwa na five or ten minutes break kwa kila baada ya dakika kadhaa
 
Back
Top Bottom