Maoni na ushauri wenu vitanisaidia katika hili

Kacheki kwanza afya, alafu km kawa mpe test validity,
na hakikisha unamkoleza vya kutosha manake usijeukafikiri we ndo wa kwanza kumpa alishaonja kibao hapo anakompea tu,
ukiona anataka tena siku ingine jua kanogewa, ukiona hakuombi tena JIPANGE mama cd hajauza.
 


Chances za kukusaliti baada ya hapo ni kubwa,hivyo wewe mwenyewe pima kama uko tayari kurisk na kupokea matokeo yoyote yatakayofuata.
 
Mpe mambo wewe,unaficha ficha kitaliwa na nyenyere
 
Naungana wa wajumbe walio pita. Hivi dada Rehema hata ukienda kununua simu dukani lazima uangaliea aina gani simu huwezi ambiwa nunua simu umeina kwa nje ndani hujaiona kama hakuna betri utafanyaje wakati umeshanunua? Sio kwakwe tu hata kwako unaweza kuolewa bila ku do ukisha ingia ndani unaanza kukumbuka zilipendwa. Wewe unataka ndoa ya mwaka arobaini saba kuipata utakesha best. Akili kichwani mwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…