Maoni Rasimu ya Katiba Mya

Maoni Rasimu ya Katiba Mya

josam

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2011
Posts
2,252
Reaction score
1,041
Habari zenu wana JF? Naomba kuwakilisha maoni yangu ya rasimu ya katiba mpya, kwenu na wadau wote katika mchakato wa katiba mpya ya Tanzania.Tuchangie kwa hekma zaidi. Asanteni.Na Josam.
 

Attachments

Tanzania as an Emerging Energy Producer we need a Katiba ikatayoainisha mikataba kwa manufaa ya taifa na kizazi kijacho. Usiri na ujinga unagharimu sana taifa chini ya Magamba
 
Hakika. Katiba itamke kuwa draft ya Mkataba itajadiliwa na wadau ikiwemo Bunge na kutoa mapendekezo yake kabl ya kutiwa saini wa washirika wa mkataba husika. Pia ianishwe kuwa atakayebainika kupitisha mkataba usio na maslahi kwa Nchi ya Tanzania anyongwe kwani sheria ya kifo bado imeendelea kulindwa katika katiba mpya. Lazima tuwe na sheria kali kudhibiti ubadhirifu wa mali za umma. Pia, ikibainika kiongozi wa kuchaguliwa/kuteuliwa alisaidia kwa namna yoyote ile ibadhirifu wa mali ya Taifa, ahukumiwe jera miaka 30 na faini juu ikiwa ni pamoja na kurejesha alichokwapua/kuiba au hasara ailiyosababisha.
 
Back
Top Bottom