Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Katika maamuzi ya serikali iliyopita ambayo sikufurahishwa nayo ni kuiunganisha mifuko ya hifadhi ya kijamii kwakuwa haukuwa shirikishi na haukuzingatia sababu za kiutafiti zilizopelekea kuundwa kwake.
Nilijiuliza maswali mengi juu ya faida ya uamuzi huo lakini nilipata chache mno na zenye mashaka.
Serikali inapounda maeneo mapwa ya kiutawala Kama vijiji, kata, majimbo ya uchaguzi, wilaya, halmashauri, mikoa, Wizara lengo ni kupanua wigo wa utowaji huduma kwa wananchi kutokana na ongezeko la idadi ya watu linalokuwa sambamba na watumishi/wafanyakazi.
Kama ili lilikuwa sahihi, basi ni sahihi kurudisha wilaya na mikoa na maeneo ya kiutawala waliyotuachia wakoloni. Au tufute local government tubaki na Serikali kuu tuuu.
Ni makosa yalifanyika kulundika watu wengi kwa Afisa masuhuli mmoja. Lazima kuwe na mkwamo wa utoaji huduma na kupelekea malalamiko mengi.
Nashauri serikali kuirudisha mifiko hiliyokuwepo ili kuboresha hudima.
Nilijiuliza maswali mengi juu ya faida ya uamuzi huo lakini nilipata chache mno na zenye mashaka.
Serikali inapounda maeneo mapwa ya kiutawala Kama vijiji, kata, majimbo ya uchaguzi, wilaya, halmashauri, mikoa, Wizara lengo ni kupanua wigo wa utowaji huduma kwa wananchi kutokana na ongezeko la idadi ya watu linalokuwa sambamba na watumishi/wafanyakazi.
Kama ili lilikuwa sahihi, basi ni sahihi kurudisha wilaya na mikoa na maeneo ya kiutawala waliyotuachia wakoloni. Au tufute local government tubaki na Serikali kuu tuuu.
Ni makosa yalifanyika kulundika watu wengi kwa Afisa masuhuli mmoja. Lazima kuwe na mkwamo wa utoaji huduma na kupelekea malalamiko mengi.
Nashauri serikali kuirudisha mifiko hiliyokuwepo ili kuboresha hudima.