Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,860
Kwa maoni yangu Kiba alistahili tunzo zile,sehemu nadhani imeibua mjadala mzito ni kwenye tunzo ya mtumbuizaji bora tu.
Sasa ni vema hoja na mjadala ujikite kwenye category hiyo ili kuepusha ushabiki usiokuwa na ujenzi wa muziki wetu.
Wote tunahudhuria matamasha yanayoandaliwa hapa nchini na macho na masikio tunayo pia,Je ni kweli Kiba anafanya show kali zaidi ya Diamondi?
Kura zinaweza kuondoa kujituma kwa mtu jukwaani?
Nadhani kura zinaweza kupata nguvu zaidi kwenye category ya msanii anayependwa zaidi na sio mtumbuizaji bora
Kumbuka hata ofisini unaweza kujituma sana kuliko wengine still bado usipendwe na wenzio.Lakini boss wako akaliona hilo na kulithamini.
Maana kupendwa na kutenda ni vitu tofauti,Kwa hiyo tujadili tunzo moja tu ya mtumbuizaji bora zingine zote ni haki ya kiba
Tusifikie hatua ya kumpora kiba haki yake(Tunzo zote nne) kwa ushabiki wa kipuuzi.
Sasa ni vema hoja na mjadala ujikite kwenye category hiyo ili kuepusha ushabiki usiokuwa na ujenzi wa muziki wetu.
Wote tunahudhuria matamasha yanayoandaliwa hapa nchini na macho na masikio tunayo pia,Je ni kweli Kiba anafanya show kali zaidi ya Diamondi?
Kura zinaweza kuondoa kujituma kwa mtu jukwaani?
Nadhani kura zinaweza kupata nguvu zaidi kwenye category ya msanii anayependwa zaidi na sio mtumbuizaji bora
Kumbuka hata ofisini unaweza kujituma sana kuliko wengine still bado usipendwe na wenzio.Lakini boss wako akaliona hilo na kulithamini.
Maana kupendwa na kutenda ni vitu tofauti,Kwa hiyo tujadili tunzo moja tu ya mtumbuizaji bora zingine zote ni haki ya kiba
Tusifikie hatua ya kumpora kiba haki yake(Tunzo zote nne) kwa ushabiki wa kipuuzi.