Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
zaidi awe raisi wa Tanzania,awasikilize watanzania na sio kuwasikiliza ccm.
 
Muhongo bado anastahili kurudia ile wizara yake..
 
No 1,3,4 na 8 ni watu makini sana na wanahitaji sana ....hivyo nasikitika kukutangazia kuwa maombi yako katika namba tajwa hayatozingatiwa kabisa! Hao ni wachapakazi wazuri na wana hitajika...
 

Kwa hiyo Mama Samia mara hii amegeuka samaki wa Kipare,unakula ugali kwa kuangalia picha!
 
Mimi ningependa aanze na kurudisha nyumba zote za serikali zilizofisidiwa wakati wa utawala wa Nkapa na kwa kuanzaia aanze yeye mwenyewe kurudisha pamoja na zile inazosemakana walipewa jamaa na marafiki zake. Hapo ndipo tutaona kweli anachukia ufisadi. Baada ya hapo afungue haraka mahakama ya mafisadi kama alivyoahidi na mtu wa kwanza kumshitaki awe Lowassa kwasababu wamemsema sana sana majukwaani kabla na baada ya kugombea urais. Umefika wakati sasa apelekwe mahakamani ili mahakama itamke kama ni fisadi au laa
 


nimefurahi umekubali magufuli ni Rais... dawa imeingia vizuri ..safi sana ...

pili.... Prof Anna tIbaijuka anatofauti gani na mzee wa richmond uliyekuwa ukimpigia chapuo....

nina imani baraza la Dr. Magufuli litakuwa dogo na watu wa kazi tu...
 
mim ikatika wote huyu tu hafai hafai hafai hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Huyu jamaa anisamehe ila sijawahi kumuamini, namuona ka mpiga dili fulani hivi.
 

Kuna mkono wa J.Makamba katika post hii.J. Mkamba hufai popote pale labda kitengo cha propaganda cha CCM. Tatizo ni Uwaziri Mkuu hapa
 



nimefurahi umekubali magufuli ni Rais... dawa imeingia vizuri ..safi sana ...

pili.... Prof Anna tIbaijuka anatofauti gani na mzee wa richmond uliyekuwa ukimpigia chapuo....

nina imani baraza la Dr. Magufuli litakuwa dogo na watu wa kazi tu...

Tunajenga nchi, mabadiliko yatakuja soon
 
Dr.Magufuli tunahitaji watu ya caliber wakina Nchemba katika baraza la mawaziri... huyu jamaa anafaa hata kuwa PM
 
Kuna mkono wa J.Makamba katika post hii.J. Mkamba hufai popote pale labda kitengo cha propaganda cha CCM. Tatizo ni Uwaziri Mkuu hapa

Ni mesema makamba anapaswa kuwekwa nje miaka mi 2 kwani kwa sasa sina imani naye kutokana na kundi lake, pamoja na kuusaka urais baada ya kuwatumikia wananchi
 
Muhongo, Mwigulu, mwakyembe wanafaa sana kuwepo hao wengine hawafai wote

Mwakyembe hafai maana ndiye alinunua mabehewa mabovu akala pesa za ukarabati wa reli pia ATC na kule bandarini napo alifanya maovu mengi , lakini kwa kawaida Mwakyembe huwa ni rafiki mkubwa wa Magufuli hivyo huenda Magufuli akafumba macho na kuamua kumpa Uwaziri wa Uchunguzi tena.
 
Muhongo kichwa aliingizwa chaka nA wabongo, huyu arudi tena kwenye nishati alisimamia vema tanesco

Tatizo la Muhongo sio mwanasiasa, ila wakati wake alipiga kazi ya hatari, tena mie nitaenda mbali zaidi na kusema kama inawezekana na Masele arudi kuwa katibu mkuu wizara ya nishati.
 
Kuna harufu ya Mkono wa Makamba kuutaka U-PM kwenye post hii.Ila dogo yule hana jipya zaidi ya malingo
 
Maovu yapi alifanya?
 
Kuna harufu ya Mkono wa Makamba kuutaka U-PM kwenye post hii.Ila dogo yule hana jipya zaidi ya malingo

Namuona yuko toooo soft, uzungu mwingi na hajui msoto wa maisha ya wabongo kama kina Nchemba, hafai!
 
acha kujiangaisha unapigia mbuzi Gitaa tu-Muombe tu Mungu Miaka 10 iishe mapema tuangalie chama kingine.Aliweza hivyo Nyerere tu.

Kweli watu wengine wanasikitisha katika mtazamo yao. Tunaambiwa kwa miaka 54 ya Uhuru hakuna kilichofanyika ,! Ila Nyerere Aliweza! Nyerere katawala miaka 24 hii inaesabiwa wapi?
 
Ameshaanza na lakudhurura maofisini
Mwenzake naye alianza na mkwara huo huo wa kuzunguka wizara zote, masokoni na kuitisha vikao au mwenyewe kama alivyoita semina ya kagharama kubwa kule Ngurdoto eti ikiitwa semina elekezi tukadhani mambo yangekuwa mazuri kumbe ilikuwa geresha tu. Muda si mrefu mambo yakaanza kuwa hovyo na yeye akageuza upepo wa ziara zake akaanza kuzunguka nje kila siku hasa hasa Marekani. Kwanza alianza na ziara alizoziita za kujitambulisha. Sasa sijui alikuwa anajitambulisha kama balozi au Rais. Tena wakati huo alikuwa ametoka kwenye kikao cha AU ambako kwa mara ya kwanza alihutubia kwa kiswahili. Sasa cha ajabu baada ya kurudi akaanza kwenda ena kwa wale wale alio kutana nao kwenye mkutano wa AU eti kujitambulisha. Baada ya kuzunguka katika nchi mbali mbali za Afrika akijitambulisha akaanza sasa kwenda huko wanakoita ng'ambo. Baada ya hapo ikawa safari moja huanzisha nyingine. Mara leo yuko Marekani, kesho Uingereza nk mpaka sasa sijui ametiza safari ngapi mpaka anaondoka. Lets give Magufuli a benefit of doubt!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…