Salaam Zikufikie Mh Raisi Pole Na majukumu Ya kulijenga Taifa
Sio kazi Rahisi lakini Unajituma Ingawa kuna mapungufu Yako ya hapa Na pale
Niubina damu lakini pale unapo Fanya jema destur ya wa Tanzania Nikupongezana
Hongera Kwa Kugundua Uozo Uliopo katika sekta ya Madini
Hongera dhazati kwa Tume ulio iunda Kwakuwa Waaminifu
Nakukuletea Mezani Uchunguzi Sahii bila kuficha jambo Ingawa Yapo mengi Makubwa Yenye ukakasi Nayenye kuhitaji kutizamwa pia kiumakini ..
Lengo Nadhumuni Lakukuandikia Barua hii Nikukupongeza kwa kazi nzuri Tulio iyona Lakini pia kuleta Ombi langu kwako
Mimi kama Mtanzania Nina umia sanaa kuona sekta ya madini Inanufaisha makundi flani Na kuyafanya watumwa
Makundi flani hili halivumiliki hatakidogo
Makundi Ya wachimbaji wafanyakazi au kwajina Maarufu (Wanawapolo)
Wamekuwa Wakinyanya sika sanaa Na waajir wao Nahata wengine Kuishia Kufa bila kupata hata tone la Faida Ya kazi wanazo fanya
Kutokana tuu Na sekta hii kuwa Na umimi Ulio pitiliza
ileweke Nao wana (watoto )wake ) wanahitaji
Kulisha familiar na kuzisomesha pia
Nakufanya Maendeleo yao Kimasha
ila wanashindwa kutokana Na sekta isivyo wajali wachimbaji wadogo wakuajiriwa
ilhali wao Ndio sababu ya Kukuza na kuinua sekta ya madini Tanzania
Ombi langu ukifikiria Kuteua Waziri katika sekta hiyo
Naomba Nami Nipate pendekezo ikifaa unipitishe Nanika timize wajibu Na kwenda na kasi yako
Kwanza Na ahidi kufichua Uozo Zaidi ya huu Nakusimamia sekta Ya madini kikamilifu
ili serikali iingize pato Wafanyabiashara Waingize kipato
Na waajiriwa wao pia
Ombi langu mh Naomba uniteue Kushika nafasi hii
Naahidi sitakuangusha
Ndani ya Week Moja toka Uniapishe Nitaanza Kudeal jino Kwajino
Nasita mvumilia wala kumhurumia
Atakae subutu Kufanya ujanja ujanja
Wako katika Ujenzi wa Taifa N:Abdul