Siku ukipewa taarifa kuwa waliomshughulikia Lissu ni jamaa wa karibu nae, nadhani utafuta kauli yako hiyo ya hapo juu.Jeshi na serikali kwa ujumla walienda kutuliza ghasia huko KIBITI.. ila kuwafahamu waliomfata Lissu ndani ya Majengo ya serikali wachukuliwe hatua imeshindakana .
Unabwata hapa kijingaX2 Popoma wewe.
Ungekuwa wewe katika hali aliyonayo ungerudi? Unaiharibu heshima yako kwa kuropoka ovyo!Lissu arudi kwao Singida akawatumikie waliompigia kura
Ingependeza sana kama utawataja hao ambao serikali yako na dola wameshindwa kuwakamata kwa kosa hilo!Siku ukipewa taarifa kuwa waliomshughhia Lissu ni jamaa wa karibu nae, nadhani utafuta kauli yako hiyo ya hapo juu.
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shauri sasa nini kifanyikeUnamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani atoe taarifa au MAKONDA?..Siku ukipewa taarifa kuwa waliomshughulikia Lissu ni jamaa wa karibu nae, nadhani utafuta kauli yako hiyo ya hapo juu.
Mkuu wanaruhusu hata wanaotamka wazi wazi kuwa wanataka wengine waishi kama mashetani. Maana yake ni kuwa kuwepo na mashetaani weeengi, ili mabaya yaongezeke na roho za watu ziangamie.Halafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Lindugai ni kibaraka tu lakini jiwe ndo lenyew na hvi lilimpeleka kigaigai sijui ndo anasaidiana naye kutenda uovu ambao hata lucifer anawashangaaHabari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Maaskofu siku hiz wanalikimbiaHalafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Mimi binafsi huwa najiulizaga sana, ningekua ni mimi mwendesha misa ukifika muda wa kula mkate wa bwana hapewi alafu nampa makavu kama mbwai bwai tu.Halafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Sema umeshindwa kumuelewa, mimi najua fika ile ilikua ni zuga tu.Jamani dingi unajua haileweki kuna mda tunaweza mtupia rawama kibao kumbe siyo yeye ni watendaji wake wanatenda haya kujipendekeza kwa baba maana baba hasomeki unachoona bora yeye anakikataa unachoona kibaya yeye ndio anakikubali yani kama kinyonga vile usije kushangaa kesho anatoka hadharani anaraumu kwanini waliompiga risasi tundu lisu mpaka Leo hawajapatikana hapo ndio utashangaa
Niwakumbushe issue ya kutekwa kwa MO
Dingi ndio kafanya tushindwe muuelewa kabisa maana eti naye anashangaa kama sisi tunavyoshangaa
Viongozi wa dini tunaomba muingilie ili suala linalifedhehesha taifa letu na kuifanya serikali ionekane katili mbele ya wananchi. Kaeni faragha yamalizeni kwa maslahi mapana ya taifa. Lissu jambo lake mnaliona dogo lakini likakuzwa likawa kansa inayokutumaliza taratibu. Hata kama mtu alikuwa hana hisia yeyote dhidi ya waliomjeruhi kwa risasi wanaweza kujenga hisia hizo ambazo zitakuwa sana karibu na ukweli.Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Nimependa hili neno,ni Mungu yupi mnaemuabudu,Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
utasikia michango yote lazima ipate kibali cha dcHesabu ni Rahisi Sana.
Na-Assume
Watanzania Wanaomsupport Lissu tuko= 5000000(5 million).
Kila Mmoja Atadeposit 2,000/= kila Mwezi karibia na Tarehe 15.
Total itakuwa 10,000,000,000(10 Billion).
Hii ni zaidi ya Mshahara,posho,pension na Marupurupu ya Mbunge Kwa Miaka 5.
Watanzania Tukiamua Tunaweza.
TUMCHANGIE TUNDU LISSU SASA.
TUNDU LISSU RAIS 2020.
"Mopao Mokonzi"