Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Mkuu usifosi tufanane wote, kila mtu ana wajibu kuwa na uhuru wake ili mradi asivunje sheria.

eg. wewe kama unatumia choo cha kukaa, acha sisi wengine tutumie cha kuchuchumaa
 
Badala ya kushughurikia mambo ya muhimu, uchumi kuwa hivi, gharama za maisha kuwa juu, mnakimbilia vitu vya kipuuzi!!kuna mambo mengine huwa yanapungua yenyewe tu endapo hali ya uchumi ikiwa nzuri, ila sio kuisha kabisa, na kuisha haiwezekani, hata atumie JWTZ.
 
Mlevi akinywa serikali inaingiza kodi, mkamaria akibet serikali inaingiza kodi, malaya akinunua condom na kulipia lodge serikali inaingiza kodi.

Labda kama unataka haya mambo yaondolewe irudishwe kodi ya kichwa ufuate mpaka pale ghetto kwako TRA waje kuchukua chao sawa. Ila unge suggest na alternative ingependeza, labda rais akataze pombe alafu aongeze kodi kwenye kahawa na chai. 😁
 
Kumbuka kipind cha rais kikwete kila mpinzan alisema nchi kubwa haina hata Airbus moja ina kandege kamoja ten kadogo mhhh jmn Leo hii ndege zipo za kutosha maneno ten onhoo lami mbovuuu hahahahaaaaaaaaa This is Tanzania hahahaaaaa naipenda nchi yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhe: Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Popote ulipo amani ya bwana iwe.

Kwa heshima na taadhima ninaomba kutumia fursa hii kukushauri kuhusiana na watumishi hewa na watumishi waliokuwa na vyeti feki (makanjanja). Nikianza na watumishi hewa (non existed workers) hawa hawatakiwi kujadiliwa sana kwa sababu hawapo ni majina tu yalioingizwa kwenye system na wajanja wachache ili kujipatia fedha.Janan nimekusikia vyema ukizindua mpango wa TASSAF na ulizungumzia kaya hewa.Hii inaonyesha jinsi gani wajanja wachache wanazitumia ofisi zao katika mambo yasiokubalika.

Niliwahi sikia pia kuna wanja wachache wanaotumia mpango wa kusitishwa kwa uhamisho watumishi kujinufaisha kwa kuwasaidia watumishi kuhama kutoka kwenye mazingira wasioyapenda na hivyo kupelekea upungufu watumishi katika sehemu hizo.Nashauri kuundwa kwa mifumo ya taasisi imara itakayo zuia watu wachche kujinufaisha na mambo hayo.

Sehemu ya pili nitajikita kwenye watumishi waliokumbwa na sakata la vyeti feki hawa wengi wao wamejiendeleza naaamanisha wamesahihisha makosa yao kama mtu alikutwa na chet kisichostahili cha form four au form six amefsnya mitihani yake na amefaulu na kuna wengine walikumbwa navyeti feki vya chuo pia wamesoma na kupata vyeti upya hivyo kwa heshima na taadhima tunakuomba mhe: raisi uwarudishe kazini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…