Laptop zitakulipa - kama utapata HP itakuwa nzuri zaidi or Jitahidi kupata Compaq, Dell, IBM - Duo Core 2.0Ghz, atleast 2GB memory na 160HDD. hapa unaweza uza kwa dola 450 hadi 500. hakuna ushuru kwa hiyo we angalia bei ya huko.
Usinunue desktop - hazina soko, unless kama unataka kufungua internet cafee ingawa si biashara nzuri bongo. karibu home, umejenga? kama hujajenga kupanga nyumba 3 bedroom fanced, middle class ni laki 4 mpaka 5 kwa mwezi.