Maoni ya Baba wa Taifa kuhusu nguvu ya vijana katika kujenga taifa lao

Maoni ya Baba wa Taifa kuhusu nguvu ya vijana katika kujenga taifa lao

briophyta plantae

Senior Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
117
Reaction score
132
MANENO YA MWALIMU NYERERE
“Tunataka kuona katika Taifa hili vijana jeuri na wenye kujiamini; si vijana waoga, akina “ndiyo bwana mkubwa; vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya Kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa.”-

Mwalimu JK Nyerere

FB_IMG_1719208107724.jpg
 
Back
Top Bottom