Maoni ya Hamisi Kigwangwala kuhusu Usajili haya hapa

Tatizo mkopo wa bodaboda alionyimwa na Mo, halafu anasema hapendagi ujanja ujanja, huyu tapeli ataaminiwa na utopolo tu.

Kama alishindwa kutoa pesa anunue bodaboda ataweza kusajili mchezaji?
 
Mimi ni Simba damu

Kwani kuna ubaya gani mudi akituonesha b20 ziliko?. Kumbuka simba ni timu ya wananchi kwa 51% hivyo wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi.

Ninashangaa kwa nini mudi kila siku anaongea janja janja badala ya kusema b20 zimetumika kufanyia mambo kadhaa kisha ayaorodheshe au aseme ziko benki a/c flani.

Akifanya hivyo hatutahoji chochote
 
Mimi ni Simba damu

Kwani kuna ubaya gani mudi akituonesha b20 ziliko?. Kumbuka simba ni timu ya wananchi kwa 51% hivyo wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi...
Kwani ukisema tu kwamba wewe ni DEMU wa simba utapungukiwa nini ?
 
Kwani ule mpunga wa 51% umewekwa hadi ulize matuminzi ya 49%?
 
Kwani hawakaguliwi mkuu kumbe Mo aliweka mezani b20 za makaratasi na magenius wa Simba akina GENTAMYCINE wakitoa toa macho kushangaa uzuri wa Barbs Gonza
 
Ni kweli mo janja janja, lakini hata hii lia ya kigwa si kwasababu anaipenda saana simba, ila ni sababu haivi na Mo.

Hata yeye alitolewa wizarani ssababu ya janja janja. Yeye alileta janja janja kwa watu takribani milioni 60(Tanzania nzima), iweje janja janja ya mo kwa watu takribani milioni 10-20 hivi(simba sc)

Ukiwa mchafu huna nguvu ya kumkosoa mwenzio na ndio maana hoja zake za MSINGI hazina nguvu.
 
malalamiko yako ungepeleka FCC manaa walipitisha mchakato kumbe wametapeliwa siyo?
 
Ulivyoanza kujitambulisha tu tumejua wewe ni uto pro.
 
Hapendi ujanja janja wakati hata jina siyo lake, Saidi Bagaile Nzega kuna tatizo kubwa la Maji safi katatue hilo kwanza.
 
Mbona matusi Tena wajameni, kwani si mumjibu kistaarabu tu Hela zimefanya Moja mbili tatu
Pesa tumefanya usajili miaka mitano, tumelipa mishahara na bonus kwa miaka mitano, tumefanya fitina za nje ya uwanja ili kuwezesha timu yetu kupata mafanikio iliyoyapata kwa miaka mitano, in short Mo and company anawadai Simba SC maana nyie wenye 51% mchango wenu Ni almost equal to zero. Kama nadanganya nendeni lolote muone Kama mtamushinda Mo boss kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…