Sio Jamhuri ya Zanzibar tu, Jamhuri zote zirudi na muungano wenye tija ndio tuuzungumzie. Jamhuri ya watu wa Zanzibar itakuwa salama pale Jamhuri ya Tanganika itakapohuishwa. Watu wa Zanzibar wanadhani kuwa wakiwa nje ya muungano ndio watafaidi sana ila ukweli ni kuwa nje ya muungano Zanzibar itaparaganyika na kuwa vipande viwili vya Unguja na Pemba. Sisi yetu macho tu. Na Wapemba watataka kubaki kwenye muungano kwa maslahi wanayoyaona. Mh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.