Wajapan hawataki kusikia habari za dini ukimletea habari za dini atakuambia waswahili mna sali sana Lakini masikini wa kutupwa kwanini mungu hawasaidii shida zenu na viongozi wenu hawaishi kupita huku na kule kuomba misaada! Wakati dunia ya kwanza wanahangaika na maisha sisi tunaendelea na hoja za ijumaa na jumapili, Mimi Nina amini binadamu wote tuna akili Sawa Kama hatutaweza kubadilisha mawazo yetu tutaendelea kudharauliwa mpaka mwisho wa dunia au tukubali western people are smarter than we are na sisi niwasindikizaji tu! Nilikuwa nacheki kwenye YouTube clip kuna sheikh kule tanga anataka serikali iweke sheria ambayo itayomruhusu mzazi wa kiislamu kumuozesha binti yake mwenye umri wa miaka 16 kwani kiislamu ni ruksa, sasa tujiulize Kama tunakuwa na mabinti wa kiislamu wasomi? Tumeona kwa binti wa kipakistani malala aliyedai dai haki zake za. Kusoma ameishia kupigwa risasi ya kichwa na watalaban! Angalia misri raisi morsy anataka kujiongezea madaraka ambayo Hakuna atakayeweza kuyatengua si mahakama wala bunge Ili aweze kulifanya taifa Hilo la kiislamu na pia kushindwa kwake kutambua haki za wanawake nafikiri uislamu ni utamaduni na dini kwa upande mwingine kwa watu wa maeneo Fulani kwa vile dini hizi ni mapokeo kwa Africa unakuta zinakuwa zinapingana sana na sheria za nchi, kwa wakristo tunasema ya kaisari muachie kaisari, kwa waislamu Imani Yao ndio mfumo wao wa maisha, someone has to loose Islam or ruling government unaweza kuomba mtafaruku huo