Maoni Ya Mwanachama wa Yanga kuhusu kupuyanga kwa Jezi Zao

Nenda mahakamani una hoja
 
Yuda Eskarioti mdau...πŸ˜†πŸ˜…πŸ€£
 
Chama huyu huyu mwenye mguu mfupi na mzee ambae hana mwendo anajikongoja?

Simba tuna vijana wenye vipaji wana mwendo, hao wazee wenu waje vizuri tutawakimbiza mpaka wameze ulimi
Umeona boli lililochezwa SAUZI? Jiandaeni kisaikolojia. Mwambieni na kocha akae mkao wa kutimuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…