Kenyans are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.Nimeikuta huko Twitter wakenya wakibeza picha ya rais UHURU KENYATA akifanya mazoezi ya kung fu huku wakihusisha tabia na madeni yaliyopo ya nchi yao kutokana na serikali ya rais huyo
Picha [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1189677View attachment 1189678View attachment 1189679View attachment 1189680
Kenya's are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.
Ni kweli kabisa mkuuKenyans are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.
Yaani umeniwahi tu hii comment.Kenyans are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.
Ni kweli mkuu, ndo maana nampenda Kenyatta namchukia Magufuli.Uzuri hutaskia watu wasiojulikana wamesababisha Mkenya kutoweka kisa maoni.
Unaweza nipa sababu 5 (should be strong and personal) za kumchukia Magufuli ili niongezee kwenye notebook yangu? Ukishidwa hapa nitumie PM, Ni muhimu sana.Ni kweli mkuu, ndo maana nampenda Kenyatta namchukia Magufuli.
Pia mimi! Ila nimeshindwa kujizuia nikaachilia kiheko kikubwa!Daaa hizo tweets za wakenya, nimetaka kucheka sana ila eneo nililopo hawaruhusu kucheka asee...