Pre GE2025 Maoni ya wananchi Moshi Vijijini kuhusu mbunge wao na miundombinu ya barabara

Pre GE2025 Maoni ya wananchi Moshi Vijijini kuhusu mbunge wao na miundombinu ya barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Wananchi hao wa Kiboriloni wamesikika wakilalamika miundombinu ya barabara kuwa ni mibovu sana na mbunge wao hawajamuona tokea atoe ahadi ya kushughulikia barabara hiyo.

Wameongeza kuwa hawatasumbuka tena kupiga kura kwani hakuna inachowasaidia

 
Back
Top Bottom