mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Wananchi hao wa Kiboriloni wamesikika wakilalamika miundombinu ya barabara kuwa ni mibovu sana na mbunge wao hawajamuona tokea atoe ahadi ya kushughulikia barabara hiyo.
Wameongeza kuwa hawatasumbuka tena kupiga kura kwani hakuna inachowasaidia
Wameongeza kuwa hawatasumbuka tena kupiga kura kwani hakuna inachowasaidia