Maoni ya watu maarufu baada ya hukumu ya Lulu

Waaat...!!!

Kama vipi mpeleke mwanao mkuu...!!! Sio rahisi kama unavyofikiria aisee..!!
Usishtuke Mkuu! Ukienda upande wa pili wa Muungano hapo pahala alipopelekwa Lulu, huitwa kwa Jina la Chuo Cha Mafunzo.

Ila wasanii wa Kibongo bhana, wanakuwa na dharau sana Kwa Mahakama as if ni sehemu ya kuigizia. Mtu una kesi tena serious case lakin utakakuta kajitu kesi inaendelea kenyewe full kuchezea cm na kujiselfisha. Wajifunze kuheshimu ule mhimili, adhabu nyingine wanatandikwa kimyakimya Kwa vijimakosa vya dharau kwa Mahakama bila kujijua.

Ni Rai tu kwa hawa Bongo movie, na hii cyo maramoja, mara kwa mara kama wanashtakiwa hugeuza Mahakama kama sehemu ya kuji show off. Ni vema wawe humble na kujipanga vema kwa ajili ya Kesi zao.

To be honest, adhabu ya Lulu kwa jicho la kisheria ni kama kasamehewa tu. Ukisoma Penal code s. 195 cap 16 inasema adhabu kwa kosa la Manslaughter ni life imprisonment. Na kuna watu wanachezea 20 yrs, 15 yrs, 5yrs nk. Sasa kama kapigwa 2yrs ashukuru Mungu.

2kisema huyu hastahili na ilibidi aachiwe huru tu, ni nani sasa anastahili hyo adhabu? Usupastaa haumfanyi mtu kuwa juu ya Sheria. Kila mtu yuko sawa mbele ya sheria. Rejea ibara ya 13 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

NB: Matatizo kaumbiwa binadamu bila kujali hadhi yake, umaarufu wake au tabaka lake.

Keep the Law and the Law will keep You.
 
Kumbe wengine ni Baba yao, haya Baba anakuja wasio na Baba Miaka kadhaa ndani!!
 
Jamani hivi hakuna wa kulia na mama Kanumba? Wooote ni upande Wa lulu...sasa? Kanumba aliuma na lulu pia inauma ilitakiwa watu wasimame katikati....Tumbo kama LA kuzaa linamuuma yule mama na hakuna kinachotoka wenye watoto wakumbuke hilo vyuma vimekaza kotekote
 
Sasa bahati mbaya zaidi nipo upande wa kwanza wa muungano.
 
waache porojo kwani wengine walio jela si watu?
 
Mbona yangu ujaweka hapo au Mimi sio maarufu acha ubaguzi wewe
 
Mbona yangu ujaweka hapo au Mimi sio maarufu acha ubaguzi wewe
 
Mbona yangu ujaweka hapo au Mimi sio maarufu acha ubaguzi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…