mzee wa liver JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 83,441 Reaction score 431,885 Nov 14, 2017 #121 Halafu bashite anasema dady is coming kweli huyu bashite
Edna04 Member Joined Mar 27, 2017 Posts 31 Reaction score 10 Nov 14, 2017 #122 Hao wasanii wanafiki wengine hata mahakamani walikuwa hawaendi Muda huu wanajifanya wameumia acheni unafiki rafiki Wa kweli ni yule anaekujali wakati Wa shida
Hao wasanii wanafiki wengine hata mahakamani walikuwa hawaendi Muda huu wanajifanya wameumia acheni unafiki rafiki Wa kweli ni yule anaekujali wakati Wa shida
T truckdriver JF-Expert Member Joined May 7, 2012 Posts 558 Reaction score 259 Nov 14, 2017 #123 hivi gerezani wanasomaga"twitter" na "instagram" ??
Nahirat JF-Expert Member Joined Jul 31, 2017 Posts 595 Reaction score 985 Nov 14, 2017 #124 Wanafiki tu hawa. Wapo ambao wako jela au ma hospitali wakati hawana hatia
kilambimkwidu JF-Expert Member Joined Jul 21, 2017 Posts 6,097 Reaction score 7,199 Nov 14, 2017 #125 Wasanii tu hao...