Serikali 3 itafaa zaidi, Kila mtoto ale Kwa JASHO lake.Kwa maoni yako binafsi bila kuangalia upo upande gani wa siasa, ukaambiwa utoe maoni yako juu ya upatikanaji wa katiba mpya ungechagua yapi kati ya haya:
1. Serikali moja, Rais wa JMT bila kuwepo Raisi wa Zanzibar
2. Serikali mbili, mfumo ubaki kama ulivyo sasa hivi
3. Serikali tatu, Awepo Rais wa JMT na Raisi wa Tanganyika na Zanzibar
Inshu ni serikali moja..mana ndio lilikua lengo la tangu awali la muungano.Kwa maoni yako binafsi bila kuangalia upo upande gani wa siasa, ukaambiwa utoe maoni yako juu ya upatikanaji wa katiba mpya ungechagua yapi kati ya haya:
1. Serikali moja, Rais wa JMT bila kuwepo Raisi wa Zanzibar
2. Serikali mbili, mfumo ubaki kama ulivyo sasa hivi
3. Serikali tatu, Awepo Rais wa JMT na Raisi wa Tanganyika na Zanzibar