mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Wasalaam.
Wakuu nina business idea ambayo nko mbioni kuanza kuifanyia kazi,biashara yenyewe ni ya nafaka ambapo napanga kununua mashine za kufanyia processing mazao ya nafaka especially mpunga, mahindi pamoja na maharagwe.
Mazao nitakuwa nayakusanyia mkoani Mbeya kutoka kwa wakulima nayahifadhi stoo huku nikiendelea kuyaprocess kwa kutumia mashine ntakazozinunua.
Baada ya hapo ntakuwa nasafirisha nafaka ambazo ni tiyari kwa matumizi ya binadamu
Soko langu kubwa nategemea litakuwa mkoani Dar es salaam ambapo nitakuwa nasambaza kwenye taasisi mbalimbali zikiwemo shule, vyuo pamoja na watu wengine watakaokuwa wanahitaji mzigo kwa bei ya jumla.
Mtaji wangu kwa kuanzia nimeandaa millioni 40.
Wakuu tafadhalini naomba mnipe mawazo pamoja na mwongozo zaidi katika biashara hii
Wakuu nina business idea ambayo nko mbioni kuanza kuifanyia kazi,biashara yenyewe ni ya nafaka ambapo napanga kununua mashine za kufanyia processing mazao ya nafaka especially mpunga, mahindi pamoja na maharagwe.
Mazao nitakuwa nayakusanyia mkoani Mbeya kutoka kwa wakulima nayahifadhi stoo huku nikiendelea kuyaprocess kwa kutumia mashine ntakazozinunua.
Baada ya hapo ntakuwa nasafirisha nafaka ambazo ni tiyari kwa matumizi ya binadamu
Soko langu kubwa nategemea litakuwa mkoani Dar es salaam ambapo nitakuwa nasambaza kwenye taasisi mbalimbali zikiwemo shule, vyuo pamoja na watu wengine watakaokuwa wanahitaji mzigo kwa bei ya jumla.
Mtaji wangu kwa kuanzia nimeandaa millioni 40.
Wakuu tafadhalini naomba mnipe mawazo pamoja na mwongozo zaidi katika biashara hii