Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Hili baraza la mawaziri na bunge ndiyo dhaifu kuliko yote tangia tupate uhuru!
 
Kwa kweli "nani kama mama nchi" imemshinda ufisadi sasa ni hulka ya nchi hii yaani kila mmoja anafanya atakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…