Kama kuna bima ya afya basi sheria hiyo itasema ni kosa la jinai fedha za umma kutumika kwa matibabu nje ya nchi kwa mtu yeyote yule.
Wengi wanaokimbilia nje ukiwatafakari sanaaaaaaa utaona ni ukimwi unawapekecha na ni tamaa zao za ngono zinewafikisha huko.
Ni busara wakatibiwa humu humu ndiyo watahimiza khali bora za wauuguzi wetu.
Wakienda nje watakomalia kuwapiga akina Ulimbokha ili kuduwaza huduma za afya nchini ambazo zimeishia kujenga majengo na ndani ya hayo majengo hakuna la maana linaloendelea.