Alaumiwe aliewatuma kuingia barabarani.!Wakafuate nini? Hatuko tayari kuendekeza tumbo huku wafuasi wetu wakiwa wameuliwa, kuachwa na vilema vya maisha. Hii tabia ya kuendekeza faida ya muda mfupi ndio inasababisha watu kuendelea kunajisi chaguzi zetu, na kufanya mauaji kisa wapinzani watakubali kushiriki kwa vyovyote sababu ya pesa.
Alaumiwe aliewatuma kuingia barabarani.!
Hapa inahitajika hekima na busaraKwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!
Siyo kuhusu pesa tu mkuu! Kuhusu upinzani, way forward ni nini?Unaweza kupata hela na maisha yakasonga bila kuwa mbunge ndani ya bunge lililopatakina kwa kumwaga damu.
Siyo kuhusu pesa tu mkuu! Kuhusu upinzani, way forward ni nini?
Sometimes sielewi chadema wana waza nini wange enda tu hao wadada wachague vichwa kama mdee,bulaya, ester matiko, upendo peneza, Catherine luge wakakomae itaonyesha uhai wa chama sioni tija ya kususaKwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!
Tupingie wapi mkuu?! Wenye majeshi na vifaru wamekaataa tusiandamane!Upinzani ni huko kwenye hilo bunge kibogoyo?
Stupid postKwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!
Wewe unataka kuwaua njaa wenzako wakati udenda unawatoka. Hakuna atakae kataa wote wataenda we subiri tu.Mimi CHADEMA nasema kama Mkuu wetu Mbowe amekosa bora wakose wote. Hakuna mkubwa zaidi ya Mbowe ndani ya chama chetu.
Bufa acha mzaha,kwenda bungeni siyo habari ya ukubwa ni habari ya uhai wa chama, mara nyingi mbowe hatumii hekima, mnyika lzm asimamie chama la sivyo kitamfia mkononi. wkt wa uchaguzi wa viongozi wa vijiji chadema walisusa simply kwa sababu wao walikuwa hawahusiki lkn wameingia kwenye uchaguzi wa wabunge kwani ndiko uliko ulaji wao bila mabadiliko yoyote kwenye katiba ya Nchi au kanuni za uchaguzi ili angalau waendelee kupata mishahara na posho za ubunge wamekosa ishakuwa ishu wanaona wakose wote ameshahau aliye shinda aliinvest kwenye uchaguzi anastahili malipo hata wale waliopata nafasi za viti maalum waachiwe ili kupata wawakilishi watakao wakilisha hoja za chama.hekima itumike isiwe kama walivyo wafukuza kina lwakatare jambo lililokiumiza sana chama.Mimi CHADEMA nasema kama Mkuu wetu Mbowe amekosa bora wakose wote. Hakuna mkubwa zaidi ya Mbowe ndani ya chama chetu.
Kamwambie hivyo kiparaMimi CHADEMA nasema kama Mkuu wetu Mbowe amekosa bora wakose wote. Hakuna mkubwa zaidi ya Mbowe ndani ya chama chetu.
Inawezekana ni stupid post mkuu, lakini tu tafakari tu, na kama kuna njia nyingine ambayo ni wise, iposti tu!! What is the way forward!Stupid post
Na mimi nimeamua kuwavumilia, lakini nimetoa tu maoni yangu, hata kama hayatakubalika!kuna watu walishajipanga kejeli, mipasho, na masimango 90% wakati mchango wa hoja ni10%
Sasa pamoja na hayo waliyofanya,Kuna lolote lililobadilika? Kama sivyo bora kipi, kupigania ugali wa wanaume wenzio huku Ukibaki na kilema cha maisha bila msaada wowote kutoka kwa uliokuwa unawapigania, au kukaa kando ukawaachia vita yao?Walitakiwa watulie tu wakiwekewa viongozi na tume ya ubaguzi, Tiss, na jeshi la polisi?
Kwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!
Kule Zanzibar waliachiwa miaka 5 na hakuna walichokifanya cha maana zaidi ya kuzidi kuipeleka nchi nyuma. Na waendelee tu kukaa kwenye viti vilivyojaa damu na waendelee kula haramu .Sasa pamoja na hayo waliyofanya,Kuna lolote lililobadilika? Kama sivyo bora kipi, kupigania ugali wa wanaume wenzio huku Ukibaki na kilema cha maisha bila msaada wowote kutoka kwa uliokuwa unawapigania, au kukaa kando ukawaachia vita yao?
Hapana sifurahii hata kidogo! Hata ingewezekana na mimi ningeondoka kabisa kwenye hii nchi inayoyotiririka damu! Lakini hata kama utambi unafuka moshi tu, tusiuzime bali tutafute mafuta, ili angalau uwepo mwanga!BUNGE Lililowekwa kwa mtutu wa Bunduki na mauwaji ya watu ?? Hivi unafurahia damu kumwagwa na vikosi vya ulinzi na majeshi ya Burundi ili kulazimisha CCM ishinde na kuwaweka hawa wabunge ??