Tumeshuhudia kuwa karume day ni siku ya viongozi wakuu kuvaa kanzu kufanya dua na kuwaalika viongozi wa madhehebu mengine kufanya ibada kama waalikwa.
Napendekeza Nyerere day ifanyike ibada ya misa nyumbani kwa nyerere.alafu tuwaalike viongozi wa dini wengine kama waalikwa waje wasome ibada zao baada ya sisi kumaliza yetu. iwe ni siku ya kubeba biblia mkononi na kuvaa rozali.
Napendekeza Nyerere day ifanyike ibada ya misa nyumbani kwa nyerere.alafu tuwaalike viongozi wa dini wengine kama waalikwa waje wasome ibada zao baada ya sisi kumaliza yetu. iwe ni siku ya kubeba biblia mkononi na kuvaa rozali.