Tanzania Norway
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 321
- 640
Nikianza na vile nimewapima wale Tripoli hawatokuja kupaki basi kwetu kama tulivyofanya sisi ila tu watapunguza possession watatutega kwa mipira mirefu na through balls katikati ya mabeki wetu hasa pembeni katika hili tujiandae kisaikolojia sababu jamaa wanauwezo wa kufanya chochote kwa muda wowote na wakafanikiwa licha ya kutopata ushindi kwao.
Pili ikiwa kocha Fadlu atarudi na mpangokazi wa kutumia mawinga wetu wote Mutale na Balua basi huenda jamaa wakaja kutupa pressure kubwa mara nyingi sababu moja ya jambo linatusumbua Simba ni siku Balua na Mutale wakianza wote lazima Jean Charles au Awesu mmoja aanze benchi hasa Awesu wakati ukitazama uchezaji wetu unahitaji uwepo wake sana na uwepo wa Awesu humfanya Ahoua kuonekana mchezoni sabb Awesu ana tabia ya kupenda kuwa karibu na anaempasia hivo coach aamue kati ya Mutale na Balua mmoja aanze bench au wote waingie middle 2 Okajepha na Awesu...ili Debra Awesu na Ahoua wasifanye sana majukumu ya ulinzi muda mwingi vinginevyo atumie pure stricker 2 Mukwala na Ateba kwa wakati 1 mfumo uwe 442 acheze na viungo wa 4 .
Tatu, viongozi na benchi la ufundi wajikite kuwaandaaa wachezaji kiufundi na kisaikolojia badala ya kudili na hamasa ya washabiki kuingia uwanjani sabb pia aslimia 80 ya wachezaji wetu hizi mechi za maamuzi wengi wao hawajawahi kukutana nazo hivyo pressure inaweza kuwatoa mchezoni kabisa hasa pale tutawahiwa kufungwa goli.
NI HAYO TU.
Pili ikiwa kocha Fadlu atarudi na mpangokazi wa kutumia mawinga wetu wote Mutale na Balua basi huenda jamaa wakaja kutupa pressure kubwa mara nyingi sababu moja ya jambo linatusumbua Simba ni siku Balua na Mutale wakianza wote lazima Jean Charles au Awesu mmoja aanze benchi hasa Awesu wakati ukitazama uchezaji wetu unahitaji uwepo wake sana na uwepo wa Awesu humfanya Ahoua kuonekana mchezoni sabb Awesu ana tabia ya kupenda kuwa karibu na anaempasia hivo coach aamue kati ya Mutale na Balua mmoja aanze bench au wote waingie middle 2 Okajepha na Awesu...ili Debra Awesu na Ahoua wasifanye sana majukumu ya ulinzi muda mwingi vinginevyo atumie pure stricker 2 Mukwala na Ateba kwa wakati 1 mfumo uwe 442 acheze na viungo wa 4 .
Tatu, viongozi na benchi la ufundi wajikite kuwaandaaa wachezaji kiufundi na kisaikolojia badala ya kudili na hamasa ya washabiki kuingia uwanjani sabb pia aslimia 80 ya wachezaji wetu hizi mechi za maamuzi wengi wao hawajawahi kukutana nazo hivyo pressure inaweza kuwatoa mchezoni kabisa hasa pale tutawahiwa kufungwa goli.
NI HAYO TU.