Maoni yangu: Wanaume wenye vipara wako vizuri kitandani

Wana wataenda kunyoa vipara ili wakubaliwe wanasahau kuwa wenye vipara wengine sio watu ni marobot tu ,Sasa jiulize January Makamba ni mtu kweli ?
 
Mnataka vipara tena? Ama mnatuvuruga
 
Asante kwa taarifa
 
"kijana mmoja alikuwa ana nywele nyingi ,mrembo mwembamba".Aisee unamuitaje mwanaume mrembo
 
Unajua kwa nini wenye vipara wana ndevu nyingi?

Baldness ni ishara ya testosterone kua nyingi.
 
Hayana muongozo hayo

Sikuwahi kuwa na mwenye kipara lakini hawa wenye nywele nyingi zile za kufuga nyingi zileee 🙌

Mbinguni wana mahali pao pema
Wewe wa kiume ila unawaza kupelekewa moto, balaa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…