Utakuja kushuhudia.Simba atashinda kwa tofauti ya goli 1. Either 1-0 au 2-1.
Yes na Mimi nakubaliana na weweSimba atashinda kwa tofauti ya goli 1. Either 1-0 au 2-1.
Sio kwa vikosi hiviYanga 4 simba 1
Yanga 4 simba 1
Tukutane baada ya mechiMwaisa Gwamaka Malafyale.
Hayo mambo waachie akina Shehe Yahaya.
Weww nenda kanisani kapigi injili hadi watu waokoke.