Maono: Nimeona Mchezaji wa jezi nyekundu akianguka na hakuamka tena katikati ya mechi

Maono: Nimeona Mchezaji wa jezi nyekundu akianguka na hakuamka tena katikati ya mechi

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe kwenu wana MUNGU

Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane

Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa

Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja wa aliye vaa jezi ya kijani akianguka Kisha kuamka

Lakin badae mchezaji wa jezi nyekundu alianguka pia naye na hakuamka tena, nikaona ambulance ikaja na kumchukua Kisha uwanja mzima ukajaa huzuni na watu wakaanza kumuombea kwa MUNGU

Huenda alipoteza maisha maana watu walijitaidi sana kufanya usaidizi lakin hakuamka

Akapelekwa hospitali

Ni maono tu ndugu yangu ambayo mimi nimeyaona, basi tumuombe MUNGU atusaidie

Na maono siyo lazima yatokee leo au kesho ila yatatokea asanten sana

AMINA

SAYUNI BOY
 
Amani iwe kwenu wana MUNGU

Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane

Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa

Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja wa aliye vaa jezi ya kijani akianguka Kisha kuamka

Lakin badae mchezaji wa jezi nyekundu alianguka pia naye na hakuamka tena, nikaona ambulance ikaja na kumchukua Kisha uwanja mzima ukajaa huzuni na watu wakaanza kumuombea kwa MUNGU

Huenda alipoteza maisha maana watu walijitaidi sana kufanya usaidizi lakin hakuamka

Akapelekwa hospital

Ni maono tu ndugu yangu ambayo mimi nimeyaona, basi tumuombe MUNGU atusaidie

Na maono siyo lazima yatokee leo au kesho ila yatatokea asanten sana

AMINA

SAYUNI BOY
Kakojoe uendelee kulala......
 
Naomba uchukue nafasi hii kuwakumbusha mamraka husika kujiandaa na hiyo mechi maana imepaniwa sana,

Hautakua mchezo tu bali ni vita...

Pia wachezaji waandaliwe kisaikolojia,
Red cross na watu wa huduma ya kwanza wawe full equipped and professional.
Mkuu watapita hapa wakipuuza shauli yao
 
Watafukiza kocha sasahivi sijui wataleta wa nchi gani!
 
Naomba uchukue nafasi hii kuwakumbusha mamraka husika kujiandaa na hiyo mechi maana imepaniwa sana,

Hautakua mchezo tu bali ni vita...

Pia wachezaji waandaliwe kisaikolojia,
Red cross na watu wa huduma ya kwanza wawe full equipped and professional.
Ni vyema kweli wahusika wajiandae kuelekea mechi hii ngumu mambo mengi yanapangwa na mengi hata kutokupangwa aidha kwa uzito wa mechi tension inakua kubwa sana.

Note: Mkuu ni Mamlaka sio Mamraka.
 
Amani iwe kwenu wana MUNGU

Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane

Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa

Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja wa aliye vaa jezi ya kijani akianguka Kisha kuamka

Lakin badae mchezaji wa jezi nyekundu alianguka pia naye na hakuamka tena, nikaona ambulance ikaja na kumchukua Kisha uwanja mzima ukajaa huzuni na watu wakaanza kumuombea kwa MUNGU

Huenda alipoteza maisha maana watu walijitaidi sana kufanya usaidizi lakin hakuamka

Akapelekwa hospitali

Ni maono tu ndugu yangu ambayo mimi nimeyaona, basi tumuombe MUNGU atusaidie

Na maono siyo lazima yatokee leo au kesho ila yatatokea asanten sana

AMINA

SAYUNI BOY
Ndoto za mchawi
 
Hiyo ndoto yako ishindwe na ilegee kwa jina la Yesu. Ikiwezekana ikurudie mwenyewe.
 
Amani iwe kwenu wana MUNGU

Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane

Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa

Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja wa aliye vaa jezi ya kijani akianguka Kisha kuamka

Lakin badae mchezaji wa jezi nyekundu alianguka pia naye na hakuamka tena, nikaona ambulance ikaja na kumchukua Kisha uwanja mzima ukajaa huzuni na watu wakaanza kumuombea kwa MUNGU

Huenda alipoteza maisha maana watu walijitaidi sana kufanya usaidizi lakin hakuamka

Akapelekwa hospitali

Ni maono tu ndugu yangu ambayo mimi nimeyaona, basi tumuombe MUNGU atusaidie

Na maono siyo lazima yatokee leo au kesho ila yatatokea asanten sana

AMINA

SAYUNI BOY
Utakufa wewe siku ya mechi
 
Back
Top Bottom