Uchaguzi 2020 Maono ya yatakayojiri 2020

Uchaguzi 2020 Maono ya yatakayojiri 2020

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Haaahaaa!
Leo nimepata hisia za uandishi fikirishi. Nawaza ifikapo mwaka kesho 2020 ndani ya chama kikongwe na kikubwa Tanzania cha siasa ambacho ni chama Mama CCM nahisi kutakuwa na damu mpya au watu wapya kabisa kwa CCM kugombea hususani nafasi za ubunge zaidi na mbali yake nafasi za udiwani.
1. Ubunge itakuwa nahisi zaidi ya asilimia 90% wapya kabisa na wasomi kiukwelikweli walio na historia safi huko nyuma.

2. Udiwani itakuwa kama 75% wapya ndio wapya kabisa utake usitake ndivyo ninavyohisi. Haahaa cha ajabu watakuwa watu wasomi sana na huko pia na asilimia kubwa nahisi watakuwa vijana.

3. Viongozi waliopo sasa wajitafakari na wachukue hatua mapema kabisa kimwili na kiakili nawaambia hamtaamini macho yenu kabisa ila ndivyo ninavyohisi itakavyokuwa.


N.B

UCHAGUZI 2020 UTAKUWA UCHAGUZI WENYE USHINDANI MKUBWA SANA KWA VYAMA VYOTE NDANI NA NJE YAANI ZAIDI YA 2015 ILIVYOKUWA.

Mbarikiwe.
 
Ccm hain wasomi wa kutikisa.Hivi hujanusa kuoma ofisi za chama na Nec zikichomwa moto kwa sababu wamegoma kutangaza washindi halali?

Mi kila nikikaa naonan 70% ya raia wakiwa hawapo barabarani,hawapo kupiga kura bali wako kwao wametulia wakiangalia movie zilizotafsiriwa na taarifa ya habari mengine wanawaachia chama dola
 
Haaahaaa!
Leo nimepata hisia za uandishi fikirishi. Nawaza ifikapo mwaka kesho 2020 ndani ya chama kikongwe na kikubwa Tanzania cha siasa ambacho ni chama Mama CCM nahisi kutakuwa na damu mpya au watu wapya kabisa kwa CCM kugombea hususani nafasi za ubunge zaidi na mbali yake nafasi za udiwani.
1. Ubunge itakuwa nahisi zaidi ya asilimia 90% wapya kabisa na wasomi kiukwelikweli walio na historia safi huko nyuma.

2. Udiwani itakuwa kama 75% wapya ndio wapya kabisa utake usitake ndivyo ninavyohisi. Haahaa cha ajabu watakuwa watu wasomi sana na huko pia na asilimia kubwa nahisi watakuwa vijana.

3. Viongozi waliopo sasa wajitafakari na wachukue hatua mapema kabisa kimwili na kiakili nawaambia hamtaamini macho yenu kabisa ila ndivyo ninavyohisi itakavyokuwa.


N.B

UCHAGUZI 2020 UTAKUWA UCHAGUZI WENYE USHINDANI MKUBWA SANA KWA VYAMA VYOTE NDANI NA NJE YAANI ZAIDI YA 2015 ILIVYOKUWA.

Mbarikiwe.
Hao wasomi kwelikweli watatoka wapi? Ni hawa waliofundishwa na profesa wa majalala? Siyo vibaya kuota mchana lakini jihadhari, kuna wakati unaweza kufikiria unaota kumbe mwanzo wa magonjwa ya akili. Hasa unapoona vitu vya ajabu ambavyo havipo.
 
Haaahaaa!
Leo nimepata hisia za uandishi fikirishi. Nawaza ifikapo mwaka kesho 2020 ndani ya chama kikongwe na kikubwa Tanzania cha siasa ambacho ni chama Mama CCM nahisi kutakuwa na damu mpya au watu wapya kabisa kwa CCM kugombea hususani nafasi za ubunge zaidi na mbali yake nafasi za udiwani.
1. Ubunge itakuwa nahisi zaidi ya asilimia 90% wapya kabisa na wasomi kiukwelikweli walio na historia safi huko nyuma.

2. Udiwani itakuwa kama 75% wapya ndio wapya kabisa utake usitake ndivyo ninavyohisi. Haahaa cha ajabu watakuwa watu wasomi sana na huko pia na asilimia kubwa nahisi watakuwa vijana.

3. Viongozi waliopo sasa wajitafakari na wachukue hatua mapema kabisa kimwili na kiakili nawaambia hamtaamini macho yenu kabisa ila ndivyo ninavyohisi itakavyokuwa.


N.B

UCHAGUZI 2020 UTAKUWA UCHAGUZI WENYE USHINDANI MKUBWA SANA KWA VYAMA VYOTE NDANI NA NJE YAANI ZAIDI YA 2015 ILIVYOKUWA.

Mbarikiwe.
Wawe wapya au wa zamani,wawe wasomi au mbumbumbu bado wataitwa wana ccm na ndio hicho watanzania tumechoka nacho "CCM' ! hatuitaki CCM! CCM ni mkoloni aliyeingia baada ya waingereza hata waipake rangi kwa kiasi gani chamsingi ni CCM basi kwetu hatuitaki
 
Hahah eti movie
Ccm hain wasomi wa kutikisa.Hivi hujanusa kuoma ofisi za chama na Nec zikichomwa moto kwa sababu wamegoma kutangaza washindi halali?

Mi kila nikikaa naonan 70% ya raia wakiwa hawapo barabarani,hawapo kupiga kura bali wako kwao wametulia wakiangalia movie zilizotafsiriwa na taarifa ya habari mengine wanawaachia chama dola

Eti movie
Zilizotafsiriwa hahaha!khaa!
 
Yaan hata Magu asema madiwani wawe na Masters! Sijui wabunge wawe maprofeseri...sie tumeichoka...!
 
Tuchague Watu watakaoenda kumsaidia Rais Magufuli kufanya kazi

Hawa wanaompinga tuwapumzishe
 
"Maana ya uchaguzi wa 2020 ni mchakato wa kuwapata wagombea nafasi za udiwani na ubunge kupitia CCM ambao kwa 90% watakuwa ni madiwani na wabunge wanaosubiri kuapishwa tu"
 
Back
Top Bottom