Maono: Yanga SC anashinda kwa kishindo tena

Maono: Yanga SC anashinda kwa kishindo tena

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!!

Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu kabla ya mchezo kuanza , huku kijasho chembamba kikionekana usoni mwa kipa wao pipi ya kimara , hii ni mara TU ! alipokitazama kigimbi cha maestro Aziz ki kinavyowaka futa la nazi

Maono haya makuu
,yananionyesha nakumsikia refa Arajiga akimwambia kwa ukali kocha wa Simba sc "Leo mmeyakanyaga, mkishinda niite choko mzee, Niko nimekaa palee👉".Hali iliyosababisha kuibuka kwa sauti kuu za vilio na simanzi katika benchi la mbumbumbu.

Maono yaliendelea na sasa nikasikia sauti kuu ya filimbi kuashiria mchezo kuanza , lakini ghafla nikawaona wachezaji watatu wa Yanga sc nao ni pacome , mzize, na Aziz ki, wakiwa wenye furaha kubwa ,na sura zao zenye nuru.

Ndipo nakasikia sauti kwa mara nyingine ila mara hii ni wenye mamlaka ya dunia ikisema" Nifuraha iliyoje kwa utatu huu teule , kuwashinda na kuwaangamiza makolo wenye hila na chuki ".

baada ya sauti hiyo kukoma, nikasikia sauti nzuri za kushangilia za mashabiki Bora wa Yanga sc ,huku kibao cha matokeo kikisomeka Yanga sc 3-0 Simba sc .
 
Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!!

Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu kabla ya mchezo kuanza , huku kijasho chembamba kikionekana usoni mwa kipa wao pipi ya kimara , hii ni mara TU ! alipokitazama kigimbi cha maestro Aziz ki kinavyo kinavyowaka futa la nazi

Maono haya makuu
,yananionyesha nakumsikia,refa Arajiga akimwambia kwa ukali kocha wa Simba sc "Leo mme yakanyaga, mkishinda niite choko mzee, Niko nimekaa palee👉".Hali iliyosababisha kuibuka kwa sauti kuu za vilio na simanzi katika benchi la mbumbumbu.

Maono yaliendelea na sasa nikasikia sauti kuu ya filimbi kuashiria mchezo kuanza , lakini ghafla nikawaona wachezaji watatu wa Yanga sc nao ni pacome , mzize, na Aziz ki, wakiwa wenye furaha kubwa ,na sura zao zenye nuru.
Ndipo nakasikia sauti kwa mara nyingine ila mara hii ni wenye mamlaka ya dunia ikisema" Nifuraha iliyoje kwa utatu huu teule , kuwashinda na kuwaangamiza makolo wenye hila na chuki ".
baada ya sauti hiyo kukoma, nikasikia sauti za nzuri za kushangilia za mashabiki Bora wa Yanga sc ,huku kibao cha matokeo kikisomeka Yanga sc 3-0 Simba sc .
.......malizia ulienda chooni ukajisaidia haja kubwa.....kumbe umechafua kitandaas...amkaasss
 
Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!!

Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu kabla ya mchezo kuanza , huku kijasho chembamba kikionekana usoni mwa kipa wao pipi ya kimara , hii ni mara TU ! alipokitazama kigimbi cha maestro Aziz ki kinavyo kinavyowaka futa la nazi

Maono haya makuu
,yananionyesha nakumsikia refa Arajiga akimwambia kwa ukali kocha wa Simba sc "Leo mme yakanyaga, mkishinda niite choko mzee, Niko nimekaa palee[emoji117]".Hali iliyosababisha kuibuka kwa sauti kuu za vilio na simanzi katika benchi la mbumbumbu.

Maono yaliendelea na sasa nikasikia sauti kuu ya filimbi kuashiria mchezo kuanza , lakini ghafla nikawaona wachezaji watatu wa Yanga sc nao ni pacome , mzize, na Aziz ki, wakiwa wenye furaha kubwa ,na sura zao zenye nuru.

Ndipo nakasikia sauti kwa mara nyingine ila mara hii ni wenye mamlaka ya dunia ikisema" Nifuraha iliyoje kwa utatu huu teule , kuwashinda na kuwaangamiza makolo wenye hila na chuki ".

baada ya sauti hiyo kukoma, nikasikia sauti za nzuri za kushangilia za mashabiki Bora wa Yanga sc ,huku kibao cha matokeo kikisomeka Yanga sc 3-0 Simba sc .
Kuna makolo yatanuna na kutukana hata mambo ya utani [emoji1787][emoji81][emoji81]
 
Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!!

Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu kabla ya mchezo kuanza , huku kijasho chembamba kikionekana usoni mwa kipa wao pipi ya kimara , hii ni mara TU ! alipokitazama kigimbi cha maestro Aziz ki kinavyo kinavyowaka futa la nazi

Maono haya makuu
,yananionyesha nakumsikia refa Arajiga akimwambia kwa ukali kocha wa Simba sc "Leo mme yakanyaga, mkishinda niite choko mzee, Niko nimekaa palee👉".Hali iliyosababisha kuibuka kwa sauti kuu za vilio na simanzi katika benchi la mbumbumbu.

Maono yaliendelea na sasa nikasikia sauti kuu ya filimbi kuashiria mchezo kuanza , lakini ghafla nikawaona wachezaji watatu wa Yanga sc nao ni pacome , mzize, na Aziz ki, wakiwa wenye furaha kubwa ,na sura zao zenye nuru.

Ndipo nakasikia sauti kwa mara nyingine ila mara hii ni wenye mamlaka ya dunia ikisema" Nifuraha iliyoje kwa utatu huu teule , kuwashinda na kuwaangamiza makolo wenye hila na chuki ".

baada ya sauti hiyo kukoma, nikasikia sauti za nzuri za kushangilia za mashabiki Bora wa Yanga sc ,huku kibao cha matokeo kikisomeka Yanga sc 3-0 Simba sc .
Aisee wewe jamaa NI bwege kweli! Una familia kweli?
 
Pale yanga wachezaji wengi wanajuwa ball ila Max na Mzize ni shidah nyingine.
 
Tukifungwa ntaenda kujifariji kwa kutazama marudio ya mechi hatua za makundi klabu bingwa.
 
Tukifungwa ntaenda kujifariji kwa kutazama marudio ya mechi hatua za makundi klabu bingwa.
Hawa hawatoki licha ya jitihada za tff kuitoa Yanga mchezoni
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Maoni ya mwehu ni ya kupuuzwa
Acha kuweka picha yetu sasa maana sisi ni wehu . Simba watashinda tena kwa kishindo kikubwa kumbuka Hamisa ni Simba tutamwambia amchoshe aziz ki ili mfeli shauri yako na kamdogo.kako , tumechukua mume na tutatamba naye
 
Acha kuweka picha yetu sasa maana sisi ni wehu . Simba watashinda tena kwa kishindo kikubwa kumbuka Hamisa ni Simba tutamwambia amchoshe aziz ki ili mfeli shauri yako na kamdogo.kako , tumechukua mume na tutatamba naye
nina maono juu yako pia mrembo ..usipuuze unabii huu, njoo DM haraka kupokea muujiza wako
 
Back
Top Bottom