mda mrefu umepita toka nikusudie ku post hili.
aliyeandika hili bango pale sabasaba ni nani.
badala ya maonesho kaweka maonyesho.
pamoja na kutanpaza biashara pia tumetangazia dunia hatupo serious na kiswahili
mda mrefu umepita toka nikusudie ku post hili.
aliyeandika hili bango pale sabasaba ni nani.
badala ya maonesho kaweka maonyesho.
pamoja na kutanpaza biashara pia tumetangazia dunia hatupo serious na kiswahili