Maonyesho ya kilimo Nairobi, Kenya

Maonyesho ya kilimo Nairobi, Kenya

Bonge

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
1,120
Reaction score
877
Mwaka huu 2018, hakuna mtu au kikundi waliopanga kwenda kwenye maonyesho ya kimataifa ya kilimo Nairobi?
 
Mwaka huu 2018, hakuna mtu au kikundi waliopanga kwenda kwenye maonyesho ya kimataifa ya kilimo Nairobi?

LInafanyika lini mkuu ? naomba share tarehe na link yoyote ili tuweze kupitia zaidi?
 
1 - 7 october, 2018, Nairobi, Kenya.
 
Naenda mimi naondokea Arusha naenda na kurudi silali.

Kuhusu watu kwenda usitegemee kabisa kabisa.
 
Back
Top Bottom