Maonyesho ya kimataifa ya dar, mazuri na mapungufu yake


Mkuu Maonyesho ya Biashara si mahali pa kwenda Kununua Vitu, TanTrade WAJARIBU KUJIFUNZA KUTOKA Maonyesho ya Utalii ya KARIBU FAIR yanayo fanyikaga Arusha kila mwezi wa 6, yale maonyesho huwa nayapenda sana na yana Viwango vya Kimataifa, Huwezi kuta Ujinga kama ule wa kule Sabasaba, kule watu huenda kutafuta wateja wapya na kutafuta contact za wateja na supplaya,

Kwani kariakaoo inakazi gani? Kama watu wataenda kununua SABASABA NA kariakoo je.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…