Maonyesho ya Nane nane TASO Arusha 2014.

ba mdogoo

Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
68
Reaction score
33
tunaomba waandaaji wa maonyesho ya 8/8 arusha muongeze juhudi katika kutangaza maonyesho, ni aibu kwa mfanya biashara kulipa kiingilio kwenye maonyesho alaf hapti msaada wa kutangaza biashara zake. tangazeni maonyesho ili yafane mwaka huuu.. ni ushauri, ila karibuni woteeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…