Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They are so loved each other piaIla wazuri wanatabasumu vzr
Bavicha wana pisi kali!!! naenda kuchukua kadi
Emb acha masihara mkuuBavicha wana pisi kali!!! naenda kuchukua kadi
Are they "KUNG FUU PANDA?"Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye Bustani ya Wanyama ya Beijing.
View attachment 2122719
View attachment 2122720
View attachment 2122721
Mali ya China hii, hakuna nchi nyingine Duniani anayeruhusiwa Kumiliki hawa wanyama.Habari kubwa sana ndani ya China
kumbuka na wewe ni ndege?Kuna thread maalumu ya wanyama kaianzisha mshana ingependeza ipelekwe huko
Leo nimeokoka sinywi Tena pombekumbuka na wewe ni ndege?
[emoji2960][emoji2960][emoji2090][emoji2090][emoji2090]
kuanzia dakika hii?Leo nimeokoka sinywi Tena pombe
Leo jion TAG SALA ya Toba nimeongozwa na kiongozi wa idara ya vijana ndugu Joel..ila me NI mluther wamenikamata kwa kweli na mchumba watanipa pc Kali yoyote ilimrad mwezi mzima wanichunguze km kweli nimeacha...Joel alinipaisha na yeye oooh engineer huyu first appointment Basi nimepewaje mikono nje na waimbwa kwaya wazuri wazuri.[emoji1241][emoji847]kuanzia dakika hii?
kuacha pombe lazima utake mwenyewe JohnLeo jion TAG SALA ya Toba nimeongozwa na kiongozi wa idara ya vijana ndugu Joel..ila me NI mluther wamenikamata kwa kweli na mchumba watanipa pc Kali yoyote ilimrad mwezi mzima wanichunguze km kweli nimeacha...Joel alinipaisha na yeye oooh engineer huyu first appointment Basi nimepewaje mikono nje na waimbwa kwaya wazuri wazuri.[emoji1241][emoji847]
Now Niko sober day two.nikumbuke katika maombi yako kila usalipo naimani ipo nguvu kwenye maombi yako Kama kweli utaifanya kwa imanikuacha pombe lazima utake mwenyewe John
Kwani wao ndio waliowatengeneza na kivipi wengine wasiruhusiwe ?Mali ya China hii, hakuna nchi nyingine Duniani anayeruhusiwa Kumiliki hawa wanyama.
Sijui ni kwanini, lakini Panda wanapatikana China tu, na nchi nyingine wanaruhusiwa kuwakodi kwa muda mfupi huku ukilipia.Kwani wao ndio waliowatengeneza na kivipi wengine wasiruhusiwe ?