mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Ingia HAPAWadau habarini ya majukum ya hapa na pale, jamani nimekuwa nikipatwa na wivu sana nikiona rafiki zangu wakiwa na watoto wao mapacha, hivi kuna njia yeyote ya kuweza kupata watoto mapacha au ni bahati tu kuwapata, kama inawezekana naombeni mnipe elimu ya hili jambo kwa wale wanaofaham
Eat sweet potatoes
No one is quite sure why, but the Yoruba tribe in West Africa has the highest rate of twinning in the world. A study concluded that the mother's diet was the cause, being high in cassava, a type of yam or sweet potato. The peelings of this vegetable are thought to contain a chemical that causes hyperovulation. In addition, a 2006 study found that women who consume dairy are five times as likely to have twins.
sijapenda majibu mnayo toa
tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa
tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa
Eat sweet potatoes
sijapenda majibu mnayo toa
Usijali mkuu, tupo hapa kusaidiana na kuelekezana pale panapo stahili.XP salute kwako ndugu nimeipitia hiyo
mungu akusaidie.tafuta shoga zaa nae kama wewe ni mwanamke..
Kama wewe ni mwanaume tafuta msagaji...
Hapo utazaa mapacha wa kike/kiume, ila kupata mapacha wa jinsia moja hapo mimi sijui kabisa
-DAH WEWE NI MZIMA KWELI?au akaliwe kibogaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
-DAH WEWE NI MZIMA KWELI?
-ebu jaribu kujieshimu kdg kaka yangu
-km huna cha kujibu basi kaa kimya
-kutukana ivi si ustaarabua ata kdg wakat mwenzako ana tatizo kabisa na kaomba msaada then wewe unarusha tu matusi
-matusi si ujanja kakayangu
AVE A NICE DAY MA DEAR BRAZA.
aya..bt mi si kanumba...mimi annaTwanga kotekote😛eace: