Mapacha watatu bungeni: Hamis Kigwangalla, Hamis Mwinyijuma na Hamis Taletale wakali wa CCM

Mapacha watatu bungeni: Hamis Kigwangalla, Hamis Mwinyijuma na Hamis Taletale wakali wa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dr Hamis Kigwangalla alishinda bila kupingwa jimbo la Nzega vijijini

Hamis Taletale alipita bila kupingwa jimbo la Morogoro kusini mashariki

Hamis Mwinyijuma alishinda kwa kishindo Jimbo la Muheza

Hawa ndio mapacha watatu katika bunge la Ndugai kwa tiketi ya CCM lakini pia wanapendelea sanaa.

Ngoja bunge lichanganye tuone makali ya vijana hawa wadogo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yaani nilimgundua tu Dr. Kigwa, basi

Isingekuwa huyo aliyetaja miaka hapo ndo ningeambulia patupu, halafu kumbe MwanaFA ndo ni mkubwa kiasi hiko!!!
 
Back
Top Bottom