Mapambano ya rizin3 Japan

Night Watch

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,126
Kuna mapambano ya Rizen3 yanarushwa muda huu Azam Tv, watu wanachapana ngumi kama wanataka kuuana, ni fight kali sana zinazoendelea.

Nikawa najiuliza hawa wenzetu wana train vipi mazoezi yao, maana kwa kinachoendelea hapa sijawahi kuona fight za namna hii kwenye vitasa tunavyoona kila siku.

Hawa jamaa wapo mbele ya muda kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…