Mapato na Matumizi ya Rambirambi ya Marehemu - Ngwea

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Tulihamasishwa sana kuchangia mpaka ile namba ya tigo ikawa haipokei tena salio kwa kujaa.
Naomba kujua mapato na matumizi.
 
kwa hii thread inaonyesha huna moyo wa kutoa wala hujatoa chochote. mia
 
lengo lako si kumchangia jamaa au kwani uliwahi kununua hata cd yake
 
Mkuu sidhani kama kuna haja ya wewe kujua piga chini .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…