KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kuna msemo unasema ''kufa kufaana''nafikiri umeusahahu kaka,mara hii mumeshahau yaliyotokea kwenye msiba wa Kanumba?binadamu ni walewale kaka,hayo mapato na matumizi sahau,hicho ulichochangia ni kamavile ''kilichoenda kwa mganga.....''