Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuna ukweli, inawezekana wapo wachache wanaofurahia mapato yaoOgopa Mwanamke Mwenye Kipato chake wengi Dharau ndipo zinapoanzia na Usitegemee pesa ya Mwanamke. Wakizipataga Huwa Wanaanza Kuingia Mitandaonj kuangalia Mitindo na Mishoni ya kusuka na Kushona Nguo, Matumizi na Mambo ya Msingi utaambiwa ww ndio Mwanaume
Kuwa na kipato si shida. Shida akuzidi kipato. By any means mzidi kila kona. Otherwise is date nae kabisaOgopa Mwanamke Mwenye Kipato chake wengi Dharau ndipo zinapoanzia na Usitegemee pesa ya Mwanamke. Wakizipataga Huwa Wanaanza Kuingia Mitandaonj kuangalia Mitindo na Mishoni ya kusuka na Kushona Nguo, Matumizi na Mambo ya Msingi utaambiwa ww ndio Mwanaume
Tupe ushuhuda mkuuMke wangu Mungu ambariki sana.
Je anatoa kwa ridhaa yake mwenyewe au mpaka mpambane?Kucover bills za nyumbani
Nikitetereka kiuchumi anasimamia show!!