Kitendo cha timu za simba na yanga kuchezeshwa usiku hasa katikati ya wiki zinazikoseja timu pesa kupitia washabiki kuja uwanja. Hizi timu bila pesa ya getini mapato yanapungua.
Sasa si kati kati ya week ndo inakuwa hvyo wengine wanakuwa bado hawajotaka kibaruani lengo ni watu wapate nafasi ya kuangalia mechi ndo maana kati kati ya week wanaweka saa moja na weekend wanaweka saa 10 jioni.