Mapato ya Utalii Tanzania yaongezeka Kutoka $2.1b to $2.2b

Mapato ya Utalii Tanzania yaongezeka Kutoka $2.1b to $2.2b

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Tanzania inazidi kuongeza gap kubwa kwenye utalii. wakati wenzetu wanazidi kusinyaa sisi tunaendelea kupanuka.

Tanzania imefanikiwa kuongeza idadi ya watalii kutoka 1,284,279 mwaka 2016 hadi kufikia 1,327,143 mwaka 2017 hali iliyopelekea kuongezeka kwa mapato ya Serikali. DAILY NEWS DIGITAL ni Mali ya TANZANIA STANDARD NEWSPAPERS (TSN)LTD

 
2.2billion - 2.1billion= ?. Mleta mada, kazi kwako. Hongera zenu lakini.
 
Tanzania inazidi kuongeza gap kubwa kwenye utalii. wakati wenzetu wanazidi kusinyaa sisi tunaendelea kupanuka.

Tanzania imefanikiwa kuongeza idadi ya watalii kutoka 1,284,279 mwaka 2016 hadi kufikia 1,327,143 mwaka 2017 hali iliyopelekea kuongezeka kwa mapato ya Serikali. DAILY NEWS DIGITAL ni Mali ya TANZANIA STANDARD NEWSPAPERS (TSN)LTD


Data za uongo hizi
 
March 30, 2018
Mombasa, Kenya

Mambo magumu katika sekta ya utalii nchini Kenya na huko Pwani Mombasani, kila mdau aliyekuwa anafaidika na utalii analia kuwa mambo yanazidi kwenda mrama maana watalii wamepungua mno:

Source: KTN Kenya
 
Back
Top Bottom