Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,447
Habari wakuu,
Naomba tutumie Uzi huu kuleta hoja zetu za kuboresha mfumo wa haki jinai ili kwayo tuzichambue na kila mmoja kwa nafasi yake akipenda kuwasilisha wazo lako lilipendekezwa humu au kuboreshwa kwa njia ambazo zimetolewa na Tume.
Kwa sasa wanaenda Mikoani ambako watakuwa na mikutano ambayo itakuwa kama Uzi huu pia kwa manufaa nao wanaweza shiriki na kuchota mawazo yetu au mwisho tukawaomba Uongozi wa JF kuwakilisha mapendekezo yetu.
Naamini kwa vyovyote vile mawazo yanayotolewa kule na mtu si Siri lakini hatujapa fursa ya kufahamu kutoka kwa wenzetu walioshiriki Tayari kwa namna tulivyofanya kwenye Tume ya Katiba ya mzee Warioba.
Karibuni
Naomba tutumie Uzi huu kuleta hoja zetu za kuboresha mfumo wa haki jinai ili kwayo tuzichambue na kila mmoja kwa nafasi yake akipenda kuwasilisha wazo lako lilipendekezwa humu au kuboreshwa kwa njia ambazo zimetolewa na Tume.
Kwa sasa wanaenda Mikoani ambako watakuwa na mikutano ambayo itakuwa kama Uzi huu pia kwa manufaa nao wanaweza shiriki na kuchota mawazo yetu au mwisho tukawaomba Uongozi wa JF kuwakilisha mapendekezo yetu.
Naamini kwa vyovyote vile mawazo yanayotolewa kule na mtu si Siri lakini hatujapa fursa ya kufahamu kutoka kwa wenzetu walioshiriki Tayari kwa namna tulivyofanya kwenye Tume ya Katiba ya mzee Warioba.
Karibuni