Mapendekezo: Tuuze mkoa wa Kagera

Mapendekezo: Tuuze mkoa wa Kagera

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.

Kwanini mkoa wa kagera?

Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.

Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.

Tukiuza mkoa huu

Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.

Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.

Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
 
Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.

Kwanini mkoa wa kagera?

Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.

Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.

Tukiuza mkoa huu

Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.

Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.

Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
Kwanini kwanini Kagera kwanini tusiuze Zanziber wateja wako nje nje.
 
FB_IMG_16886729026050162.jpg

Tuiuze Iringa kutokana na baridi kali ya mkoa huo
 
Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.

Kwanini mkoa wa kagera?

Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.

Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.

Tukiuza mkoa huu

Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.

Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.

Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
Ngoja ccm wafilisike uone kama haitauzwa.
 
Naunga mkono hoja....

Hakuna faida yoyote kagera wanayoipata ikiwa sehemu ya Tanzania...hadi leo mkoa mzima hauna hata stendi ya mkoa...


Bora hata Idd Amini angeinyakua tu...
 
🤣🤣aseee mie Nina wazo tuiuze daslam yote,tunaweza pata muarabu mwenye mijihela yake haina kazi🙏akatuondolea hizi kero zote,na msaini mikataba naomba awe waziri mkuu,kasimu majaliwa kasimu🤣🤣
 
tuuze Zanzibar kasehemu Kila siku kanabebwa, hakachangii chochote zaidi ya kupewa misaada, ni kakisiwa kanakomegwa na bahari Kila siku kanapungua, wenyeji wa huko wanajiona waarabu tukishauza tutawapa nauli ya kwenda uarabuni
 
🤣🤣aseee mie Nina wazo tuiuze daslam yote,tunaweza pata muarabu mwenye mijihela yake haina kazi🙏akatuondolea hizi kero zote,na msaini mikataba naomba awe waziri mkuu,kasimu majaliwa kasimu🤣🤣
Hii hapana shaka tumeanza kwa hatua tumezungumza na dubei emiret na tumekimbilia dodoma
 
Back
Top Bottom