Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Niteuweni niwe mtu wa kati na katiTuuze hii nchi wazee
Wazo hili mkuu wetu limekwishamfikia?Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.
Kwanini mkoa wa kagera?
Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.
Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.
Tukiuza mkoa huu
Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.
Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.
Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
Kabisa inaonekana mla mbwa kwel na bangi nying sana Kwa maneno hayoNdugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.
Kwanini mkoa wa kagera?
Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.
Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.
Tukiuza mkoa huu
Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.
Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.
Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.
Kwanini mkoa wa kagera?
Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.
Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.
Tukiuza mkoa huu
Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.
Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.
Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jara
Umenikumbusha jamuhuri ya watu wa Ingwe kanda maalumu.NANI ANATAKA KUUZA MKOA WANGU NIKIWA SIJAPEWA TAARIFA KWA KINA.?
KAGERA INAPASWA KUJITEGEMEA NA KUWA NCHI KIVYAKE IITWE ;
JAMHURI YA WASOMI WA KAGERA
NANI ANATAKA KUUZA MKOA WANGU NIKIWA SIJAPEWA TAARIFA KWA KINA.?
KAGERA INAPASWA KUJITEGEMEA NA KUWA NCHI KIVYAKE IITWE ;
JAMHURI YA WASOMI WA KAGERA
tuuze Zanzibar kasehemu Kila siku kanabebwa, hakachangii chochote zaidi ya kupewa misaada, ni kakisiwa kanakomegwa na bahari Kila siku kanapungua, wenyeji wa huko wanajiona waarabu tukishauza tutawapa nauli ya kwenda uarabuni
Msukuma ataona ametengwaKaskazini yote iuzwe tu, wabakize kanda ya ziwa, pwani n.k
Msukuma ataona ametengwaKaskazini yote iuzwe tu, wabakize kanda ya ziwa, pwani n.k
Hili nalo wakalitazame..!Wazo hili mkuu wetu limekwishamfikia?
Nani,.....Hebu fanya hima habari hii aione Rais wa Jamhuri ya Muungano , Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan haraka iwezekanavyo.
Uwekezaji wa huku tummshauri Mh. Rais wapewe Mabeberu ya Kiingereza, kwa maana watu wengi wa huku hupenda kidhungu mingi.
Msukuma ataona ametengwa
Yaaaani oguze itwe,
Abapapa? Abaaskofu na abakadinal?yooooooh
Museveni anauhitaji sana!!Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.
Kwanini mkoa wa kagera?
Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.
Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.
Tukiuza mkoa huu
Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.
Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.
Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada
Unatuleteaga nuksi sana huu Mkoa sijui Kwa nini Nyerere hakumalizana na Amini na sie tupate Burundi na Rwanda.Ndugu.
Kutokana na kasi ya uwekezaji ni muhimu sasa tufikilie kuuza mkoa wa Kagera. Mnunuzi atanunua kwa makubaliano ya miaka 30, 50 au hata 90. Kulingana na kiwango cha fedha ako nacho.
Kwanini mkoa wa kagera?
Kwanza ni mkoa ambao unatamaniwa na mataifa mengi jirani hivyo upo katika soko zuri. Mkoa huu ulitamaniwa na waganda, wahutsu na watutsi wote wanautamani.
Mkoa huu utamfaa muwekezaji kwa kilimo cha miwa na ndizi, uwekezaji wa senene na wananchi wenye elimu kubwa. Hakika mkoa huu utafanyika kuwa jiji kubwa.
Tukiuza mkoa huu
Tutapata fedha ya kununulia magari ya viongozi kuboresha utendaji kazi maeneo yetu. Tutapata fedha ya posho kwenye vikao vya viongozi na hata kuongeza muda wa bunge kuwa na vikao virefu zaidi ulimwenguni.
Tutapata fedha kwaajili ya Nauli na mafungu ya kujikimu kwa viongozi watukufu wanao safiri ndani na nje ya Taifa.
Tunaamini kwa kuwa wananchi wa kagera ni wasomi watakubaliana na pendekezo hili na wale wabishi kama mama Tibaijuka watadhibitiwa.
Ahsante
mtwa mkulu kiongozi wa wala mbwa wote jamii forum kwa sasa nipo lilongwe
@DP word kwa utekelezaji
FaizaFoxy aione kwenye jarada